Vyama vya siasa Mbeya vyaanzisha umoja kusaidiana

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimeahidi kubeba gharama za matibabu kumsaidia Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Hamad Mbeyale, aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya. Pia kimependekeza kuundwa kwa umoja na ushirikiano baina ya vyama vya siasa mkoani humo, wenye lengo la kusaidiana wakati wa shida na…

Read More

Simama katika zamu yako   | Mwananchi

Tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. Ni matumaini yangu kuwa, kwa neema ya Mungu, unaendelea vizuri. Ninamshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusema na wewe siku ya leo, ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Maadhimisho ya mwaka jana, kupitia ukurasa huu, nilipata pia kibali cha kukukumbusha juu ya…

Read More

Masoud: Zanzibar inahitaji mabadiliko | Mwananchi

Dar es Salaam. Mtiania wa urais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Zanzibar inahitaji mageuzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, ambayo yanamsukuma kuwania nafasi hiyo. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo Agosti 23, 2025 alipozungumza na wahariri wa vyombo…

Read More

UN tayari kusaidia Nepal kufuatia maandamano mabaya juu ya marufuku ya media ya kijamii – maswala ya ulimwengu

Polisi walitumia gesi ya machozi na kufungua moto kwa waandamanaji kujaribu kujaribu kutikisa Bunge katika mji mkuu, Kathmandu, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Kutengwa kwa watu kumewekwa katika sehemu za jiji na Rupandehi, na vizuizi kwa harakati zenye ufanisi katika Pokhara. ‘Kwa hivyo tofauti na Nepal’ Mratibu wa mkazi wa UN, Hanaa Fikry…

Read More

Huko Yanga kuna fukuta, kocha aitwa mezani

YANGA ilirejea nyumbani jana kwa mafungu ikitokea Mkoani Dodoma ilikokwenda kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kutengeneza sare nyingine ya tano msimu huu lakini matokeo hayo yameibua presha kubwa kwa kocha wa timu hiyo Pedro Goncalves. Presha kubwa ya Pedro ni kwamba Yanga ikiwa chini yake haijapoteza mchezo wowote lakini kwenye sare…

Read More