Kombo wa Chadema aliyepotea akashtakiwa, aachiwa

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa kulipa faini ya Sh85,000. Kombo ambaye ni Ofisa Habari wa Chadema Mkoa wa Tanga alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai, katika…

Read More

WAZIRI GWAJIMA ATETA NA KAMATI MAANDALIZI YA SIKU YA WANAWAKE KITAIFA MKOANI ARUSHA.

Na Jane Edward, Arusha  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Doroth Gwajima ameupongeza Mkoa wa Arusha kwa maandalizi mazuri kuelekea wiki ya wanawake duniani, akihimiza jitihada zaidi kwenye utekelezaji wa mikakati ya kuwainua wanawake katika nyanja mbalimbali pamoja na kuondoa unyanyasaji na ukatili wa aina mbalimbali kwa wanawake na wasichana….

Read More

Tumia njia hii kupata mtoto wa kike, kiume

Dar es Salaam. Kila mzazi ana matamanio ya kumpata mtoto wa jinsi aipendayo awe wa kike au wa kime na wengi huhoji atafanyaje. Wataalamu wa afya wametaja mbinu za kisayansi za kupata mtoto wa kike au wa kiume, kwa kutumia kalenda ya hedhi ya mwanamke. Mtaalamu wa afya ya mama na mtoto kutoka kituo cha…

Read More

Vladimir Putin aitawala Urusi kwa miaka 25 – DW – 10.08.2024

Mnamo Agosti 9 mwaka 1999, Vladimir Putin aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Shirikisho la Urusi. Na mwishoni mwa miaka ya 1999, alichukua nafasi ya Rais Boris Yeltsin aliyekuwa mgonjwa. Mara tu alipoingia madarakani, Putin alisema kuwa Urusi ilikuwa na ingesalia kuwa nguvu kubwa. Barani Ulaya Putin anachukuliwa zaidi kama mwanamageuzi ambaye anajaribu kuijenga upya Urusi…

Read More

Mundindi kijiji cha mfano bima ya afya

Dodoma. ‘Utajiri namba moja ni afya’ ndivyo anavyosema Fulko Mlowe mkazi wa Kijiji cha Mundindi kilichopo wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe ambacho wakazi wake wote wamekatiwa bima ya afya na serikali ya kijiji. Mundindi ni kijiji chenye jumla ya wakazi 3,196, lakini ambao walikuwa hawana bima ya afya ni wakazi 2,586 na wote hao sasa…

Read More

Zelesky amjibu Trump madai ya kuichokoza Urusi

Kyiv. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy leo Jumatano amejibu madai ya Donald Trump kwamba Ukraine ndiyo iliyosababisha uvamizi kamili wa Urusi wa 2022, akisema Rais wa Marekani alikwama katika upotoshaji wa habari kutoka Russia. Akizungumza kabla ya mazungumzo na mjumbe wa Trump kwa ajili ya Ukraine, siku moja baada ya Trump kusema kwamba Ukraine “haikupaswa…

Read More