
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 18, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
ZAIDI ya wakazi 3000 waishio kwenye vijiji vya karibu na hifadhi ya Taifa ya Serengeti wanatarajiwa kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana na changamoto za Wanyama hususani Simba. Elimu ya kukabiliana na Simba pamoja na wanyama wengine wakali, inatolewa kupitia Filamu inayojulikana kama ‘Kuishi na Simba’ iliyotengenezwa na Msanii qa Filamu nchini, Erica Rugabandana. Filamu…
WATAYARISHAJI wa filamu kutoka Nchini Tanzania, Kefa Hussein Igilo na Jerryson Onasaa, wameipeperusha vyema bendera ya taifa baada ya kushinda tuzo kubwa katika hafla ya 11 ya utoaji wa Africa Magic Viewers’ Choice Awards (AMVCA) iliyofanyika usiku wa kuamkia Mei 10, 2025, jijini Lagos, Nigeria. Kazi yao ya kipekee Wa Milele – tamthilia ya maisha…
Meneja wa Uhusiano wa Umma na Masoko wa TANTRADE Lucy Mbogolo, akionesha baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa Tanzania katika banda hilo. Na; Mwandishi wetu, GEITA. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imeungana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kuratibu Maonyesho ya Teknolojia ya Madini kwa mwaka 2024, ambayo yameendelea, Oktoba 7, 2024, katila viwanja vya…
Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania imewakutanisha pamoja Wadau , Wafanyakazi wake na Watoto yatima katika hafla ya Iftar iliyofanyika katika Jengo la 3 la abiria Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere. Katika Iftar hiyo Mkurugenzi Mkuu wa TAA Bw, Adbul Mombokaleo na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Viwanja vya ndege…
KIUNGO mshambuliaji mkongwe wa Namungo, Jacob Massawe amemvulia kofia kiungo wa Coastal Union, Charles Semfuko, akisema ni mmoja ya wachezaji chipukizi wenye uwezo mkubwa na kama akiendelea na moto huo atafika mbali katika maisha ya soka kwani boli analijua. Massawe alisema msimu uliopita viliibuka vipaji vya chipukizi wengi, ila kwa bahati mbaya hakuwaona walioendeleza moto wakimentaini …
Na Mwandishi Wetu WAKAZI wa Kijiji cha Manienga Kata ya Mawindi Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya ambao wanaojishughulisha na ufugaji pamoja na Kilimo wameishukuru serikali kwa kuwajengea mabirika ya kunyweshea mifugo pamoja na visima ambavyo vinawasaidia kupata huduma ya Maji safi na salama kwa sasa. Akizungumza kuhusu mradi huo Mwenyekiti wa Kijiji cha Manienga Laison…
Russia. Raia wa Russia (jina halijawekwa wazi) amekamatwa na maofisa wa vikosi vya ulinzi na usalama nchini Russia akituhumiwa kufanya vitendo vya uhaini nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Desemba 29,2024 na Shirika la Ujasusi nchini humo (FSB), mtuhumiwa huyo alikutwa akipiga picha miundombinu ya nishati katika Mkoa wa Moscow na kuzituma…
Muda mfupi kabla ya Iran kurusha mamia ya makombora Israel usiku wa kumkia leo Oktoba 2, 2024, tayari bei ya mafuta imeshaanza kupanda. Mashambulio hayo yanakuja kufuatia vita vinavyoendelea kati ya Israel na Kundi la Hezbollah la Lebanon. Israel ilianzisha mashambulizi katika Mji wa Beirut nchini Lebanon wiki iliyopita na kusababisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi…
Wanataka uamuzi wa kubadilishwa, kuonya inaweza kudhoofisha mfumo mpana wa haki za binadamu wa kimataifa. Vizuizi vilitangazwa na Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio Jumatano chini ya agizo la Utendaji wa Rais. Bwana Rubio alidai kuwa Bi. Albanese “alikuwa ameshirikiana moja kwa moja na Korti ya Jinai ya Kimataifa . Amerika na Israeli sio…