Wanafunzi Serengeti walilia mabweni | Mwananchi

Serengeti. Baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari wilayani Serengeti wameiomba Serikali na jamii kuwaondolea vikwazo vinavyosababisha washindwe kutimiza malengo yao hasa ya kielimu, ikiwemo ukosefu wa mabweni katika shule za Serikali. Wanafunzi hao wamesema licha ya Serikali kujitahidi kuboresha mazingira ya elimu bado wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwepo kutembea umbali mrefu…

Read More

Morocco: Tunataka rekodi mpya CHAN 2024

Ikiwa leo ndiyo siku ya kuanza kwa mashindano ya CHAN 2024, macho ya wengi Afrika na dunia yataelekezwa Tanzania, ambayo kwa mara ya kwanza inakuwa mwenyeji wa fainali hizi pamoja na Kenya na Uganda, ikiwa na kocha mzawa kwa mara ya kwanza kwenye michuano hiyo. Kwa Kocha Mkuu  Hemed Suleiman maarufu kama ‘Morocco’, mashindano haya…

Read More

Kagera Sugar yamfuata Nkane | Mwanaspoti

UONGOZI wa Kagera Sugar upo katika mazungumzo ya kupata saini ya nyota wa Yanga, Denis Nkane kwa mkopo wa miezi sita ukiwa na imani anaweza kukisaidia kikosi cha timu hiyo. Taarifa kutoka Kagera Sugar zimelidokeza Mwanaspoti kuwa tayari wameshaiandikia barua Yanga kumuomba mchezaji huyo ambaye chini ya kocha Sead Ramovic hajapata nafasi ya kucheza mechi…

Read More

Magari Dar, Arusha upinzani umerudi upyaa

USHINDI wa 1-2-3 walioupata madereva wa timu ya Mitsubishi dhidi ya madereva wa Subaru, siyo tu umefufua upinzani wa timu hizo, bali pia na ule uliodumu miaka mingi kati ya klabu za Arusha na Dar es Salaam. Yakijinadi kwa jina la Advent Rally of Tanga, mashindano ya mbio za magari ya kufungua msimu yalimalizika mjini…

Read More

Waliokatwa Soko la Kariakoo waandamana ofisi za CCM Lumumba

Dar es Salaam. Wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamekusanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kujiorodhesha, kisha wakaandamana kwenda ofisi za CCM Lumumba kulalamika. Wafanyabiashara hao ni miongoni mwa waliohamishiwa kwenye masoko mbalimbali baada ya kuungua Soko la Kariakoo, kupisha ukarabati…

Read More