Sh2.55 bilioni kutumika kuweka alama za barabarani mikoa yote

Dodoma. Serikali imetenga Sh2.55 bilioni katika mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya uwekaji alama na michoro ya usalama barabarani kwenye barabara kuu na za mikoa. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amesema hayo leo Agosti 30, 2024 alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Latifa Khamis Juakali. Mbunge huyo amehoji Serikali imejipanga vipi katika…

Read More

MWENYEKITI INEC AKAGUA MAFUNZO – Mzalendo

  Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, (kushoto) akikagua mafunzo ya Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya jimbo yaliyokuwa yakifanyika kwa siku mbili katika kituo cha Shule ya Sekondari Ilboru Mkoani Arusha  alipotembelea mafunzo hayo leo Disemba 5, 2024. ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la…

Read More

Mvua zinavyowaumbua viongozi, wataalamu nchini

Nchi ipo masika. Mvua zinazonyesha zinatoa ujumbe unaoingia ndani zaidi. Tanzania haina uwezo wa kuhimili mvua mfululizo. Kadiri miaka inavyosogea, ndivyo picha mbaya zaidi inajitengeneza kuhusu usalama wa nchi. Dar es Salaam leo, miundombinu ni mibovu. Zile hadithi kuwa watu wanaoishi mabondeni ndiyo hawapo salama, tafsiri inahama. Sasa, Dar es Salaam kila sehemu ni bondeni….

Read More

Ouma aanza tambo mapema fainali FA

BAADA ya kuifanikisha Singida Black Stars kutinga fainali ya Kombe la FA kocha wa timu hiyo Mkenya, David Ouma ameweka wazi kuwa anafurahia mafaniko ya soka ambayo anaendelea kupata nchini. Singida BS iliichapa Simba kwa mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), iliyopigwa wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa…

Read More

Adaiwa kujifungua, kumzamisha mtoto kwenye maji

Dodoma.  Mkazi wa Mtaa wa Oysterbay Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma Selina Jafar (30) amedaiwa kujifungua na kumuua mtoto kwa kumzamisha ndani ya ndoo ya maji akiwa chumbani. Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amekiri kufahamu tukio hilo akisema alipigiwa simu na wenye nyumba kujulishwa tukio hilo na alituma askari…

Read More

GOD OF COINS SLOTI PENDWA DUNIANI

KUHUSU kuongeza Pesa zako kwetu ni jumumu letu, cha kufanya sogea pale Meridianbet kasino, kisha cheza michezo ya kasino ya mtandaoni ukiwemo mchezo huu wa God of Coins. Kama bado hujajisajili Jisajili hapa na upewe bonasi ya ukaribisho hadi 300% Meridianbet kasino ya mtandaoni ni moja ya chimbo la madini ya pesa na kila unapocheza kasino ya mtandaoni na michezo ya…

Read More