12 watoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’

Dodoma. Kesi ya jinai ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inaendelea leo Jumatano Septemba 4, 2024. Tayari mashahidi 12 wa upande wa Jamhuri wameshatoa ushahidi katika kesi hiyo inayosikilizwa faragha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba…

Read More

Shule zafunguliwa kwa muitikio mkubwa, wanaume wanyoshewa kidole

Dar/Mikoani. Wakati shule za msingi na sekondari nchini zikifunguliwa kwa muitikio mkubwa, baadhi ya wazazi na walezi wameeleza changamoto za kiuchumi zinazoathiri ununuzi wa vifaa vya shule, huku kina baba wakihimizwa kushirikiana kikamilifu na watoto wao hususan wanaoanza masomo kwa mara ya kwanza. Hali hii inatokana na idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa kwenye shule mbalimbali…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZITAKA TAASI ZA KIDINI KUENDELEA KUIMARISHA UMOJA NA USHIRIKIANO NA SERIKALI

Na Janeth Raphael Michuzi Tv -Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassimu Majaliwa amezitaka Taasisi za Kidini nchini kuendelea kuimarisha Umoja na Ushirikano na Serikali kama vitabu vitakatifu vya dini vinavyotaka. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Jijini Dodoma July 19,2024 wakati akifunga Baraza la Maaskofu wa umoja wa Makanisa ya Kipentekoste…

Read More

MWALIMU NI NYOTA INAYOANGAZA – DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Mwalimu ni Nyota inayoangaza na hivyo kama Taifa tuwaheshimishe walimu wa Tanzania na Kuinua taaluma ya Ualimu ambayo imekuwa chanzo cha maarifa kwa Watoto wetu pia tuwahimize wailinde kwa wivu mkubwa taaluma hiyo. Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati akizungumza na Wananchi wa…

Read More

Itumie Mei mosi kutafakari mshahara wako

Leo ni Sikukuu ya Wafanyakazi, siku ya mapumziko na fursa ya kutafakari malipo yanayotokana na kazi yetu, mshahara. Sikukuu hii inatukumbusha kusherehekea michango ya wafanyakazi na kutathmini fedha zetu za kibinafsi, ikiwa ni pamoja na mshahara, nyongeza zinazowezekana, na namna ambavyo tunaweza kujiongeza kwa mapato ya mshahara. Unapaswa kujiuliza maswali kadhaa, mathalani; Je, unatumiaje mshahara…

Read More

Njaa na magonjwa huko Gaza yatazidi tu kutoka kwa njaa ya ‘mwanadamu’: WHO-Maswala ya Ulimwenguni

Katika tahadhari ya mkondoni, shirika la UN lilisema kwamba magonjwa na njaa yataongezeka tu, isipokuwa vizuizi vyote vya Israeli vya kusaidia utoaji kwa kiwango viondolewe na ufikiaji unaruhusiwa kwenye strip. Ofisi ya uratibu wa misaada ya UN, Ochaimethibitishwa Jumatano kuwa misaada fulani inaruhusiwa kuingia kwenye enclave kila siku, lakini ni kidogo sana kukidhi kiwango kikubwa…

Read More

Hatima ya Watoto Bilioni – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya watoto bilioni 1 maisha yao yametatizwa na majanga tangu mwaka 2000, huku zaidi ya shule 80,000 zikiharibiwa au kuharibiwa. Mkopo: Shutterstock na Baher Kamal (madrid) Jumatano, Novemba 20, 2024 Inter Press Service MADRID, Nov 20 (IPS) – Je, unajua kwamba mamia ya mamilioni ya watoto duniani kote kwa sasa wanateseka kutokana na ukatili…

Read More