Ludewa wapata ‘ambulance’ pikipiki kuboresha afya

Njombe. Wananchi wilayani Ludewa mkoani hapa wameishukuru Serikali kwa kuendelea kuboreshea huduma bora za matibabu na kunusuru maisha yao, baada ya kukabidhiwa vyombo vya usafiri ikiwemo pikipiki mbili na gari moja la kubebea wagonjwa. Wakizungumza wakati wa makabidhiano hayo leo Desemba 29, 2024 wananchi hao wamesema msaada huo utawaondolea changamoto kubwa iliyowakabili wanawake wajawazito na…

Read More

Vijana waifanyia kweli Savio DBL

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam (DBL) mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco  Oysterbay. Savio inayoshika nafasi ya tatu ndani ya msimamo wa Ligi hiyo ikiwa pointi 45 katika mchezo huo ilishindwa kabisa kuonyesha…

Read More

KESI YA UKAHABA: Majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama

Dar es Salaam. Shahidi wa nne katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, ameikera mahakama kwa majibu ya ‘sijui’ kwa maswali aliyoulizwa na mawakili wa utetezi. Shahidi huyo ambaye ni polisi wa kike (WP) Konstebo Masadi Madenge kutoka Kituo cha Polisi Magomeni Usalama ametoa majibu hayo jana Julai…

Read More