Ripoti ya CAG yafichua mpya Tanzania kukabiliana na maafa

Dar es Salaam. Halmashauri nchini Tanzania hazijajipanga kukabiliana na maafa, hususan mafuriko, kutokana na kutotenga bajeti maalumu kwa ajili ya shughuli hizo muhimu. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, katika ripoti yake aliyoangazia utekelezaji wa ukaguzi kuhusu usimamizi wa mafuriko, iliyofanywa kwenye halmashauri sita kwa miaka ya…

Read More

Ugonjwa wa Mpox wazidi kuenea Burundi – DW – 18.12.2024

Mkurugenzi wa kituo cha kukabiliana na magonjwa yanayoambukia Daktari Nyandwi Joseph anasema kamati ya kukabiliana na Mpox tayari imechapisha kitabu kinakachoonesha dalili za ungonjwa huo, kinga, na matibabu yake. Kitabu hicho kitaenezwa hivi karibuni katika hospitali, zahanati na shule pamoja na sehemu nyingine za umma Burundi. Tangu kuripotiwa mripuko wa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi…

Read More

Mshitakiwa akana maelezo yake, adai hajui kilichomuua mkewe

Geita. Mshtakiwa Bahati Shija anayekabiliwa na shitaka la kumuua mkewe, Grace Daud kwa kumpiga na chuma kichwani ya  kukataa kurudiana naye, ameiambia Mahakama hajui sababu za kifo hicho. Kauli ya mshitakiwa huyo imekuja siku moja baada ya shahidi wa tatu, E.7719 Sajenti Pascal ambaye ni Askari Mpelelezi Wilaya ya Geita aliyerekodi maelezo ya onyo ya…

Read More