ELIMU YA BIMA YATOLEWA KWA TAKUKURU KANDA YA ZIWA

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania kupitia Kanda ya Ziwa imetoa elimu ya bima kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mwanza ambapo jumla ya watumishi wapatao 26 wameshiriki mafunzo hayo. Mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwemo Majukumu ya TIRA, Dhana ya Bima, Bima za Magari, Taratibu za madai, Umuhimu wa kuwa wakala wa…

Read More

WAFANYABIASHARA, JAMII INAYOJIHUSISHA NA SEKTA YA MADINI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANATUMIA VIFAA VYENYE UBORA

Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara wa madini pamoja na jamii inayojihusha na sekta ya madini wametakiwa kuhakikisha wanatumia vifaa vyenye ubora katika uchakataji wa madini ili kuongeza ubora kwa ustawi wa shughuli za madini na kuendana na kasi ya maendeleo ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Nesch…

Read More

ZIC watoa Elimu ya Bima ndani ya viwanja vya Karibu-Kili fair Arusha

Na Pamela MollelArusha. Kampuni ya Bima Zanzibar (ZIC) imewataka wageni wanaotembelea katika kisiwa hicho kuhakikisha wanakata bima ya usafiri kwa ajili ya kujiwekea ulinzi kwa dharura yoyote inayoweza kujitokeza katika utalii wao. ZIC imeyasema hayo ndani ya viwanja vya Kisongo vilivyoko Mkoani Arusha kwenye maonyesho makubwa ya kimataifa ya Karibu-Kili Fair yaliyoanza june 6-8, 2025….

Read More

Watu wenye mahitaji maalumu kupewa kipaumbele katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura

Kuelekea zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la mpiga kura, Makamu Mwenyekiti Tume huru ya Taifa ya uchaguzi (INEC) Jaji Mstaafu Mbarouk Mbarouk amesema watu wenye mahitaji maalumu watapewa kipaumbele cha kujiandikisha bila ya kulazimika kusubiri kupanga foleni. Ameyaeleza hayo leo wakati akifungua Mkutano wa Tume na Wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari…

Read More

Bodi ya mfuko wa barabara yakusanya mapato asilimia 77.

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25. Amesema katika mwaka wa fedha 2023/24, Bodi ilipanga kukusanya Shilingi bilioni 856.795 na kati ya fedha hizo,…

Read More

Bado Watatu – 26 | Mwanaspoti

NILIPOWAZA hivyo, nilipunguza mwendo zaidi, nikawa natupa macho huku na huku. Nikaona kulikuwa na pikipiki nyuma yangu. Niliona jamaa amempakiza mwenzake. Aliyempakia mwenzake alikuwa mwanaume, lakini sikuweza kuona aliyepakiwa alikuwa mwanaume au mwanamke. Nilitaka ile pikipiki inipite lakini ilikuwa ikienda mwendo wa taratibu. Nikakata kushoto ambako kulikuwa na barabara ya mchanga. Sasa makaburi yalikuwa kulia…

Read More

RIDHIWANI KIKWETE AWAPONGEZA ORYX, DORRIS MOLLEL KUWAKUMBUKA WAUGUZI CHALINZE KWA KUWAPATIA MITUNGI YA GESI

KAMPUNI ya Gesi ya Oryx kwa kushirikiana na Dorice Mollel Foundation wamegawa mitungi ya gesi ya kupikia 200 pamoja na majiko yake kwa wauguzi 200 katika Halmashauri ya Wilaya Chalinze Mkoani Pwani ambao wanaohudumia wamama wenye watoto njiti kwa lengo la kuwawazesha kutumia muda mwingi kuwahudumia wamama hao badala ya kuhangaika kutafuta kuni na mkaa….

Read More