Rais Biden alaani shambulio la Trump

Washington. Rais Joe Biden amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump kwenye mkutano wa hadhara,  akisema kuwa  hakuna nafasi ya ghasia za kisiasa nchini Marekani “Huu ni ugonjwa,” amesema. “Hatuwezi kuruhusu hili litokee. Hatuwezi kuunga mkono hili.” Biden amesema alijaribu kumpigia Trump, lakini alikuwa na madaktari wake. “Inaonekana anaendelea vizuri,” amesema….

Read More

Watafiti Nelson Mandela wagundua dawa ya malaria

Arusha/Dar. Watafiti wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) wamegundua dawa ya kutibu ugonjwa wa malaria isiyo na kemikali. Wataalamu hao kwa kushirikiana na watafiti kutoka taasisi zingine za tiba nchini Kenya (KEMR) na Afrika Kusini wamegundua dawa hiyo mwishoni mwa Julai, 2024 baada ya utafiti wa kina wa miaka…

Read More

FEZA Boys yafaulisha wanafunzi wote

SHULE Sekondari Feza Boys imejivunia uwekezaji iliyofanya katika kumuandaa mwanafunzi kuwa bora baada ya kufaulisha wanafunzi wote kwa kupata daraja la kwanza katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne ulifanyika mwaka 2024, huku zaidi ya asilimia 65 wakipata division 1.7. Hayo ameyasema Makamu Mkuu wa Shule ya FEZA Boys, Shabani Mbonde wakati akizungumza na…

Read More

Simulizi ya kijana mwenye ulemavu anayepambana na maisha kupitia Sanaa

Handeni. Ulemavu haujamzuia kijana huyu kuzifikia ndoto zake. Kwake, umeibua fursa mpya za kumwezesha kuendesha maisha yake bila kumtegemea mtu, tofauti na baadhi ya wengine wenye changamoto kama zake wanaoomba msaada barabarani. Athuman Mhina (24), mkazi wa Handeni, mkoani Tanga, amejijengea umaarufu kupitia kipaji chake cha sanaa, hasa kucheza, ambapo amekuwa kivutio kwenye shughuli mbalimbali…

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More

Petroli, dizeli zashuka bei, soko la dunia likitajwa

Dar es Salaam. Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Septemba 2024 imeshuka nchini ikilinganishwa na Agosti, huku sababu kadhaa zikitajwa, ikiwamo kushuka kwa gharama za soko la dunia. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Septemba 4, 2024 kwa yanayochukuliwa…

Read More