Utata askari Polisi akidaiwa kumjeruhi mtuhumiwa kwa risasi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi mkoani Manyara limeingia lawamani baada ya ofisa wa kituo cha Mirerani wilayani Simanjiro kudaiwa kumpiga risasi mtuhumiwa wakati akihojiwa. Mtuhumiwa anayetajwa kwa jina la Ronald Mbaga na wenzake wawili walikamatwa Machi 30, 2024 kwa tuhuma za kuiba bastola ya mfanyabiashara wa madini ambaye jina lake halijatajwa. Inadaiwa ofisa huyo…

Read More

TUMIENI MIFUMO RASMI KUHIFADHI FEDHA-PINDA

Na Mwandishi Wetu, MLELE Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi kuhifadhi fedha zao katika mifumo rasmi ya kifedha kwa ajili ya usalama. Mhe. Pinda amesema hayo tarehe 01 Oktoba 2024 katika hafla ya uzinduzi wa tawi la Benki ya CRDB katika…

Read More

Mwenza wako ana gubu, mpenda lawama?

Maisha ya uhusiano yanahitaji uvumilivu, uelewa na mawasiliano ya wazi ili yadumu.  Hata hivyo, kuna changamoto zinazojitokeza, mojawapo ikiwa ni kuwa na mwenza au mpenzi anayelalamika sana na mwenye gubu. Kila unalomfanyia haoni dhamira ndani yake. Ni mtu wa madai na lawama zisizo na ukomo. …

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mzize akaze buti haswa msimu ujao

MDOGO wangu Clement Mzize hajamaliza msimu wa 2023/2024 kinyonge, kwani amekuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB akipachika mabao matano huku akiiwezesha Yanga kutwaa ubingwa. Hakuwa na takwimu nzuri katika Ligi Kuu kwa vile alifunga mabao matano na hii haikuwa kwake pekee bali hata kwa washambuliaji wengine wa Yanga, Kennedy Musonda na Joseph…

Read More

BILIONI 23 KUBORESHA MIUNDO MBINU KATIKA HIFADHI ZA TAIFA

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Shilingi bilioni 23.18 kwa ajili ya matengenezo ya barabara zenye urefu wa kilomita 2,381.7 na vivuko 69 katika hifadhi za Taifa. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dunstan Kitandula alipokuwa anajibu swali…

Read More