Ukimya wa Inter Milan Wazaa Matokeo Makubwa Serie A

Vinara wa SERIE A, Inter Milan wameendelea kuwa na wakati mzuri baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano hasa ya ndani. Bashiri mechi zote za Inter na Meridianbet leo. Kulikuwa na kitu tofauti kidogo kuhusu Inter msimu huu. Si kelele nyingi, si presha za nje  bali ukimya wa timu inayojitafuta upya. Kuanzia raundi za mwanzo…

Read More

Yanga yapeleka jambo lao ushuani

YANGA inaendelea kupiga hesabu za kuanza kwa gia ipi msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kitu mabosi wamekifanya kutimiza malengo kwa kuwaita wanachama wa klabu hiyo eneo la ushuani lililopo Masaki, Dar es Salaam ili kujadili kwa kina mikakati yao Pale, Jangwani bado mashabiki wanatembea na kumbukumbu ya kubeba makombe yote msimu ulio-pita hapa nchini,…

Read More

Samia atajwa mwelekeo Dira 2050 na ubia sekta binafsi

Dar es Salaam. Rais, Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa Dira ya 2050, ikielezwa kuwa ni ya kitaifa huku wito ukitolewa wa kuhakikisha uhusiano baina ya serikali na sekta binafsi unaimarishwa zaidi ili kujenga uchumi jumuishi. Pongezi na wito huo umetolewa kama sehemu ya maazimio ya Kongamano la Uchumi Jumuishi lililoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere…

Read More

Trump Atangaza Vita dhidi ya Iran, Milipuko Yaripotiwa Mashariki ya Kati, Iran Yajibu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuanza kwa kile alichokiita “operesheni kubwa za kivita” dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kulinda raia wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa utawala wa Tehran. Katika ujumbe wa video uliorushwa kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema Marekani kwa kushirikiana na Israel imeanzisha mashambulizi ya makombora yaliyolenga…

Read More

Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA

Dar es Salaam. Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025. Tanzania imedondoka kwa nafasi kutoka ya 103 ambayo ilikuwepo awali hadi nafasi ya 107 kwa viwango vilivyotolewa leo na FIFA. Kufanya vibaya…

Read More

Serikali za EAC zashinikizwa kugawa pedi bure, kuondoa tozo

Dar es Salaam. Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimetakiwa kupitia upya sera na mifumo ya kodi ili kuhakikisha upatikanaji wa taulo za kike (pedi) unakuwa rahisi au bure, hatua itakayosaidia kupunguza changamoto zinazowakabili wasichana hasa walioko vijijini na familia zenye kipato duni. Kukosekana kwa taulo za kike, imesababisha baadhi ya…

Read More

NIKAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More

Mzozo Mashariki ya Kati kuathiri bei ya mafuta duniani

Mashambulizi yanayoendelea Mashariki ya Kati yanahofiwa kupandisha bei ya mafuta duniani kutokana na mataifa katika ukanda huo kuwa wazalishaji wakubwa wa mafuta, jambo litakalochochea kupungua kwa mafuta katika soko la dunia. Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran jana Jumamosi, Februari 28, 2026, zikiwalenga viongozi wake na kuitumbukiza Mashariki ya Kati katika mzozo mpya…

Read More