ANGELLAH KAIRUKI AREJESHA FOMU YA UTEUZI KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA KUPITIA CCM

Kibamba, Agosti 27, 2025 – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Mhe. Kairuki aliwasili katika ofisi za INEC akiambatana na mgombea ubunge…

Read More

Mashambulio mabaya na huduma zinazoanguka zinasukuma Sudan karibu na janga – maswala ya ulimwengu

Kulingana na ripoti za eneo hilo, kufyatua risasi nzito na kushambuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita huko El Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini, uliwauwa raia wasiopungua sita na alama zilizojeruhiwa zaidi, na kusababisha uhamishaji mpya kutoka mji uliokuwa umezingirwa tayari. Sudan imekuwa ikizungukwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya kikatili Kati ya…

Read More

Daktari aeleza kitaalamu chanzo majeraha ya mastaa Yanga

KAMA wodi ya wagonjwa sasa huko Jangwani inaelekea kujaa kufuatia idadi ya majeruhi kuongezeka ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kuwa nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job na Clement Mzize watakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki sita, huku mmoja wa madaktari bingwa akitaja sababu na suluhisho lake. Madaktari wa klabu hiyo wamethibitisha…

Read More

STARTIMES WAMESHUSHA TENA BURUDANI KWA WATEJA WAO.

KUELEKEA Msimu wa Sikukuu za Eid na pasaka Kampuni ya Startimes imezindua rasmi Kampeni ya “Lipa tukubusti” itakayodumu mwezi mmoja tu ili kuwaweka karibu watazamaji wake kiburudani na kimichezo 100% kipindi hiki cha Sikukuu. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko wa Kampuni ya Startimes David Malisa amesema msimu huu wa Sikukuu familia…

Read More

JAMBO GROUP MDHAMINI MKUU PAMBA JIJI FC

Viongozi wa Jambo Group na viiongozi wa Pamba Jiji FC katika picha ya pamoja.Pamba jiji FC wakitembelea kiwanda cha Jambo Food product. Na Eunice Kanumba-Shinyanga Kampuni ya Jambo Group ya mjini Shinyanga sasa ni mdhamini mkuu wa timu ya Pamba FC ya jijini Mwanza katika msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba…

Read More

Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More

Moto wazuka kwenye jengo jipya Kariakoo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo leo wamekumbwa na taharuki baada ya moto kuzuka katika jengo moja lililopo katika makutano ya mitaa ya Aggrey na Sikukuu na kuharibu chumba kimoja cha duka kati ya vyumba 100 vilivyopo katika jengo hilo.Tukio hilo limetokea leo Agosti 31, 2025 saa 5:30 asubuhi na kuwashtua wafanyabiashara na wateja waliokuwa…

Read More