Minziro aibukia Mwadui FC | Mwanaspoti

BAADA ya kuachana na Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ ameibukia Mwadui FC inayojiandaa na Ligi ya Champpionship msimu huu, huku akipewa kibarua cha kuunda kikosi cha timu hiyo kitakacholeta ushindani na kupanda Ligi Kuu. Minziro aliachana na Kagera Sugar baada ya mkataba wake kuisha msimu uliopita nafasi yake ikichukuliwa na Mganda, Paul Nkata, ambapo ameingia…

Read More

Ibenge: Mbeya City inanipa ramani

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema mechi ya kesho dhidi ya Mbeya City itatoa picha ya ushindani kwa ajili ya Ligi Kuu Bara inayoanza Septemba 17, huku akiweka wazi utakuwa mchezo mzuri kutokana na utayari wa wachezaji wa kikosi hicho. Azam itashuka uwanjani kesho katika pambano la kirafiki la kusindikiza tamasha la Mbeya…

Read More

Chalamila awaita vijana wasio na mitaji ofisini kwake

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vijana wanaotaka kufanya biashara eneo la Kariakoo wafike ofisini kwake ili kukopeshwa bidhaa za kuanzia kama mtaji. Chalamila ameyasema hayo leo Alhamisi Februari  27, 2025 katika sherehe za kilele cha uzinduzi wa ufanyaji biashara saa 24,uliofanyika jijini humo. Shughuli za ufanyaji biashara…

Read More

Ligi ya mabingwa Afrika, Yanga kiulaini tu

WAKATI klabu sita zitakazopeperusha bendera ya Tanzania katikamashindano ya klabu Afrika msimu ujao, zimekwepa mtego wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf) baada ya kupata leseni ya ushiriki, upepo mzuri unaonekana kuwa upande wa Yanga inayonolewa na Miguel Gamondi kabla hata mashindano hayajaanza. Gamondi na jeshi lake wamelainishiwa mapema kulingana na ratiba ya mechi za raundi…

Read More

Ubovu viwanja vya mazoezi chanzo majeraha kwa wachezaji

Ligi Kuu Bara ni chachu ya vipaji na ndoto za wanasoka wanaotamani kufikia mafanikio ya kimataifa. Hata hivyo, changamoto ya miundombinu hususan hali ya viwanja vya mazoezi imekuwa inatishia maendeleo ya mpira wa miguu na afya za wachezaji. Viwanja visivyokidhi viwango vimekuwa sehemu ya majeraha ya mara kwa mara, yanayoathiri uwezo wa wachezaji kushiriki kikamilifu…

Read More

ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

 :::::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza kuvunjwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara Mkoani Tanga baada ya Mkandarasi kutoka China kushindwa kutimiza masharti ya mkataba.  Mkandarasi huyo, kampuni ya China Railway 15 Bureua Group anayejenga barabara ya Tanga – Pangani – Mkwaja – Bagamoyo (Makurunge) sehemu ya Tungamaa – Mkwaja – Mkange (km 95.2)…

Read More

UVCCM yahamasishana kujiandikisha kupiga kura

Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), umewataka wapiga kura wapya kuwahamasisha vijana wengine kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ili kushiriki ipasavyo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa huku kukiwa na changamoto ya idadi ndogo ya wapiga kura waliojitokeza katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28,2020. Katika uchaguzi mkuu…

Read More