KenGold, Kagera Sugar vita nzito Bara

LIGI Kuu Bara inaendelea kupigwa tena leo kwa michezo mitatu katika viwanja na mikoa mbalimbali na itaanzia jijini Mbeya na Dar es Salaam kwa mechi za 10:00 jioni, huku saa 1:00 usiku ikichezwa mchezo mmoja makao makuu ya nchi Dodoma. Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, KenGold iliyotoka sare ya bao 1-1, ugenini mechi ya mwisho…

Read More

Wakazi 1,428 Liwale kunufaika na mradi wa maji

Liwale. Wakazi 1,428 wa Kijiji cha Nangano kilichopo Wilaya ya Liwale mkoani Lindi wanarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Sh461 milioni unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa). Akizungumza leo Jumapili Mei 26, 2024 mbele ya kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava, Meneja wa Ruwasa Liwale,…

Read More