Mambo yanayomsubiri Lissu Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Siku tatu tangu Tundu Lissu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wadau wa siasa wametaja mambo manne anayopaswa kuyasimamia kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, ikiwemo upatikanaji wa Tume huru ya uchaguzi kabla ya kariba ambayo upatikanaji wake ni mlolongo mrefu. Suala lingine wanaloshauri ni kuwaunganisha wanachama, kuvutia…

Read More

Hekaya za Mlevi: Zishtukieni sera za ndoto 

Dar es Salaam. Mimi sijui nina uraibu gani. Hata akipita mwendawazimu anayeongea peke yake, nitahangaika hadi nisikie kile anachosema. Mara kadhaa nimekuwa nikiwasikiliza paka wanaolalama usiku wa manane, nikawa nasikia kama wanaongea kama watu. Wakati mwingine niliogopa kwa kudhani nagombaniwa miye, maana mmoja alisema “ni wanguuu” mwingine akajibu “mwongooo”.  Kwa kutaka kujua kila kitu, najikuta…

Read More

Wananchi Ntobeye waonywa kujichukulia sheria mkononi

  WANANCHI wa kata ya Ntobeye Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera wameonywa na Jeshi la Polisi kujichukulia sheria mkoani na kufanya mauaji ya watu kwa imani za kishirikina wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kagera … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ngara Mrakibu wa Polisi, SP William Solla wakati akiongea…

Read More

Mfaransa aanika dili la Yanga SC

YANGA ilikuwa na hesabu na makocha wawili raia wa Ufaransa, lakini mmoja amefunguka sababu zilizomfanya kurudi nyuma kukubaliana na dili hilo. Kocha aliyefunguka hayo ni Julien Chevalier ambaye amemaliza msimu akiwa na ASEC Mimosas ya Ivory Coast, ambapo amekiri mbele ya Mwanaspoti kwamba alikuwa na hesabu za kutua Jangwani. Chevalier alisema sio rahisi kuachana na…

Read More

Yajue majukumu ya Polisi wakati wa kampeni

 Dar es Salaam. Katika safari ya demokrasia nchini, uchaguzi wa serikali za mitaa ni msingi wa kujenga jamii imara inayojali sauti ya kila mwananchi. Hata hivyo, katika harakati hizo, kuna jukumu kubwa linalomwelemea kila mdau wa mchakato wa uchaguzi la kuhakikisha amani inakuwepo. Hata hivyo, Jeshi la Polisi ndilo ambalo limekabidhiwa jukumu la kikatiba za…

Read More

Ligi Kuu Bara 2025/26 hawa kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Hivi ndivyo unavyoweza kujinasua dhidi ya uraibu wa ‘kubeti’

Dar es Salaam. Kama unashiriki michezo ya bahati nasibu ‘kubeti’ na umefikia hatua unatamani kuacha na unashindwa, zipo mbinu kadhaa zitakazokusaidia kufanikisha hilo. Kwa mujibu wa ushuhuda wa waliofanikiwa kujinasua kutoka kwenye uraibu wa kubeti, si rahisi kujitenga na michezo hiyo, ingawa inawezekana. Sambamba na ushuhuda wa waraibu, wanazuoni nao wanaunga mkono uwezekano wa kuondokana…

Read More