ADC yaahidi mapinduzi ya kilimo, mikopo, miundombinu na kodi

Simiyu. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaoa kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe, ameahidi kujenga kiwanda cha vifaa tiba mkoani Simiyu kwa lengo la kuongeza thamani ya zao la pamba, endapo kitashinda katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, mjini Bariadi, Mulumbe amesema lengo la kiwanda…

Read More

Kiungo wa kati wa Manchester City anajitoa kwa Barcelona.

Barcelona wanawinda kiungo wa kati msimu huu wa joto kuchukua nafasi ya Sergio Busquets, baada ya juhudi zao za kufanya hivyo wakiwa na Oriol Romeu kutofaulu mwaka huu. Baadhi ya watu wamekuwa wakihusishwa na klabu ya Blaugrana, lakini kiungo wa Manchester City, Kalvin Phillips ameamua kujiweka kwenye rada. Baada ya kupoteza nafasi yake katika timu…

Read More

Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo

IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ya moto. Timiza ndoto zako na Meridianbet sasa. EPL leo hii kuna mechi mbili za pesa ambapo mechi za mapema kabisa ni hii ya Aston Villa dhidi…

Read More

Tanesco kuboresha mita za Luku Kanda ya Mashariki

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Kanda ya Mashariki, limewataka watumiaji wa mfumo wa Lipa Umeme Kadiri Unavyotumia (Luku) kufanya maboresho yanayoendelea kwenye mfumo huo, ili kuendelea kupata huduma hiyo. Maboresho hayo ambayo yataanza Julai 22 hadi Novemba 24, yanalenga kuendana na viwango vya mifumo ya Luku ya kimataifa na kuongeza ufanisi na…

Read More

Watatu mbaroni tuhuma za mauaji katibu wa CCM Kilolo

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, Christina Nindi (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi. Taaifa za awali zilieleza tukio hilo lilitokea Novemba 12, 2024 katika Kijiji cha Njiapanda ya Tosa, Wilaya ya Kilolo alipokuwa akiishi baada ya kushambuliwa, kufariki dunia…

Read More

WAFANYABIASHARA, JAMII INAYOJIHUSISHA NA SEKTA YA MADINI WATAKIWA KUHAKIKISHA WANATUMIA VIFAA VYENYE UBORA

Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara wa madini pamoja na jamii inayojihusha na sekta ya madini wametakiwa kuhakikisha wanatumia vifaa vyenye ubora katika uchakataji wa madini ili kuongeza ubora kwa ustawi wa shughuli za madini na kuendana na kasi ya maendeleo ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Nesch…

Read More

Magonjwa nyemelezi yanavyowatesa vijana wenye VVU

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo Januari 30, 2025 nchini Tanzania, hali ya waviu wasiotambua hali zao mpaka kufikia hatua ya kupata magonjwa nyemelezi (Ukimwi) bado ipo huku vijana wakitajwa kuathirika zaidi. Magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na virusi vya Ukimwi (VVU) hatua ya juu kitaalamu yakitambulika kama Advanced HIV Diseases…

Read More