Dodoma kimewaka, CCM wanajambo lao

Dodoma. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma imepambwa kwa bendera za CCM na picha za mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Viongozi wa chama na Serikali, wanachama, makada na mashabiki wa CCM wapo Dodoma kushuhudia pamoja…

Read More

Mzize ana akili ya kizungu kimtindo

WACHEZAJI wa kizungu huwa wanazipa heshima na kuzithamini sana timu ambazo zimewapa fursa ya kujitangaza na kuingia katika daraja la juu kiushindani. Sisemi kama ni wote ila wengi wao wanaziona timu ambazo zimewapa fursa tangu wakiwa vijana wadogo kama sehemu ya maisha yao hivyo hujitahidi kuishi nazo vizuri ili wasiondoke au kumaliza maisha ya soka…

Read More