Matokeo ya kidato cha pili, darasa la nne 2024 haya hapa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili, takwimu zikionyesha kwa darasa la nne wasichana wamefaulu zaidi ikilinganishwa na wavulana. Kwa kidato cha pili wavulana ndio wameongoza. Matokeo yametangazwa leo Januari 4, 2025 na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk…

Read More

TCB yaahidi kuwezesha wakulima kuuza mazao Ulaya, Marekani

  BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za serikali kwa kuhakikisha wakulima wadogo na wa kati kupata mikopo itakayowawezesha kuzalisha kwa tija mazao yao na kuyaongezea thamani yaweze kuuzwa ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Da es Salaam … (endelea). TCB imesema katika mkakati wake wa kupanua wigo…

Read More

Aprili inavyoibeba Simba Kariakoo Dabi

MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii ya Aprili 20, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Hili litakuwa pambano la 112 kwa timu hizo kukutana katika Ligi Kuu Bara tangu mwaka 1965,…

Read More

Aziz KI afichua siri ya mkataba wake Yanga

BAADA ya Yanga kuweka rekodi ya kuwachapa Waethiopia ndani-nje na kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kibabe, staa wa kikosi hicho cha Jangwani, Stephane Aziz Ki amefunguka kuwa hawana presha ya hatua inayofuata, huku akifichua siri iliyopo katika mkataba wake. Aziz Ki ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

ZIMBWE ATOA THANK YOU SIMBA SC

ALIYEKUWA Nahodha Klabu ya Simba Mohammed Hussein ameachana na timu yake mara baada ya kuwaaga kupitia mitandao yake ya kijamii ambapo mkataba wake na wekundi wa msimbazi kufika tamati mwezi Juni mwaka huu. Zimbwe mpaka sasa yupo huru kutafuta changamoto katika timu yoyote ambayo watafikia makubaliano. Tetesi zinasemekana anahitajika na wanajangwani kwaajili ya kuwatumikia.

Read More