UIMARISHAJI MPAKA NI ISHARA YA UJIRANI MWEMA-RC ANDENGENYE

Na Munir Shemweta, WANMM KIGOMA Mkuu wa mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema uimarishaji mpaka wa kimataifa baina ya Tanzania na Burundi ni ishara ya ujirani mwema na undugu kati ya serikali na wananchi. ‘’Tunapaswa kusimamia uimarishaji mpaka baina ya nchi zetu ili kudumisha ushirikiano mwema na undugu’’ amesema Andengenye Andengeye amesema hayo leo tarehe…

Read More

ACT Wazalendo yataka uchaguzi serikali za mitaa urudiwe

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo, kimesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Jumatano Novemba 27,2024 haukuwa huru na haki na hivyo unapaswa kubatilishwa na kurudiwa upya. Mbali na hilo, chama hicho kimesema hakikubaliani na  matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa Tamisemi, Mohamed Mchengerwa na kuwa mchakato huo ulivurugwa na kusababisha wananchi…

Read More

Hizi hapa mila za ajabu barani Afrika

Je, umewahi kusikia mila ya kuiba mke kwenye sherehe au mila ya kupima urijali wa bwana harusi na mila ya kupigwa ili uoe, hizo ni baadhi ya mila, tamaduni na desturi za kipekee zinazopatikana ndani ya Bara la Afrika. Utamaduni, mila, na desturi za makabila mbalimbali ndani ya Afrika ni hazina inayowasaidia Waafrika kudumisha utambulisho…

Read More

Gomez anataka ndoo Simba | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ amesema bao la kwanza alilofunga juzi dhidi ya Namungo Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Wekundu wa Msimbazi ni mwanzo wa mengi yanayofuata, huku akiwa na hesabu za kuisaidia timu hiyo kutwaa mataji msimu huu. Simba imeanza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na…

Read More

Maaskofu Katoliki: Wanaotaka mabadiliko sheria za uchaguzi wasikilizwe, wasipuuzwe

Iringa/Dar. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa uchaguzi kusikiliza sauti za wanaotaka mabadiliko ya Katiba na sheria, ili kuruhusu uchaguzi mkuu kufanyika kwa haki na usawa. Maaskofu hao wamehoji kwa nini kauli za viongozi mbalimbali juu ya hakikisho la kufanyika uchaguzi kuwa huru na haki kutofuatwa wakisema: “Vilio vya…

Read More