Jaji Mkuu akemea watuhumiwa kunyimwa dhamana

Dodoma. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju amekemea tabia ya baadhi ya mahakimu kuwanyima dhamana watuhumiwa ambao kesi zao zinadhaminika akisema kitendo hicho ni kiashiria cha kutaka rushwa. Jaji Masaju amesema kesi yoyote ambayo inaangukia katika kifungu cha dhamana, ni muhimu watuhumiwa wakapewa siku hiyohiyo ili kukwepa msongamano magerezani na ataanza kulifuatilia jambo hilo mwenyewe….

Read More

Suti ya kijeshi ya Zelenskyy yazua mjadala

Dar es Salaam. Baada ya kusakamwa kutovaa suti kwenye mkutano wa Rais Donald Trump uliopita, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy hatimaye katika mkutano wa jana wa kutafuta amani ya Ukraine na Russia, alionekana amevaa suti ya kijeshi hatua iliyoibua mada mpya. Katika mkutano uliopita mapema mwaka huu kati ya Trump na Zelenskyy na Makamu wa…

Read More

Mabaharia wa Kitanzania wajipanga kuzikabili changamoto

Dar es Salaam. Chama cha Watanzania waliohitimu katika Chuo Kikuu cha Bahari Duniani (WMU) kinakusudia kuwaleta pamoja wataalamu katika sekta hiyo ili kushirikiana kitaaluma na kusaidiana katika kushughulikia changamoto na fursa katika sekta ya bahari kitaifa na kikanda. Chama hicho kinachojulikana kama Chama cha Wahitimu wa WMU Tanzania (WMUTAA), kilisajiliwa rasmi Aprili 2025 baada ya…

Read More

Waliofariki kwa kufukiwa na kifusi mgodini wafikia watano

Shinyanga. Mwili wa mtu mmoja umeopolewa katika mgodi wa Chapakazi na kufikisha idadi ya waliofariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kwenye mgodi huo kufikia watu watano, huku watatu wakitolewa wakiwa hai. Agosti 11, 2025, wafanyakazi na mafundi zaidi ya 22 wa mgodi huo walifukiwa kwenye mashimo baada ya kutitia wakati wakifanya ukarabati wa mduara…

Read More

JWT TANGA WAMSHUKURU RAIS DKT SAMIA SULUHU KWA KUTATUA KERO ZA WAFANYABIASHARA

Na Oscar Assenga,TANGA JUMUIYA wa Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Mkoa wa Tanga imemshukuru Rais Dkt Samia Sukuhu kwa kutatua kero za wafanyabiashara na hivyo kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa ufanisi kutokana kuondolewa kwa vikwazo ambavyo walikwa walikabiliana navyo awali.Hayo yalisemwa leo na Katibu wa JWT mkoa wa Tanga Ismail Masoud wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More