RC Mbeya awaonya wananchi dhidi ya vurugu siku ya uchaguzi

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa amewaomba wananchi mkoani humo kutoshawishiwa na yeyote kutumia siku ya uchaguzi mkuu kujifunza kufanya vurugu, badala yake wadumishe amani na utulivu. Hadi sasa zimebaki siku 12 pekee Watanzania kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi upande wa madiwani, wabunge, wawakilishi na Rais, tukio litakalofanyika Oktoba 29, 2025….

Read More