Ushindani mkali NBC PL wafungua vita mpya ufungaji bora
MISIMU mitano ya Ligi Kuu Bara imekuwa ikitawaliwa na mastaa wakubwa kutoka nje ya nchi wakitwaa kiatu cha ufungaji bora mara tatu, lakini kwa sasa inaonekana mambo yanaweza kubadilika na mzani ukawa sawa. Kwa sasa staa kutoka DR Congo, Fabrice Ngoy anayechezea Namungo ndiye kinara wa mabao akiwa ameshafunga manane, lakini bado takwimu zinaonyesha kuwa…