Baada ya ushindi, Ngorongoro kuboresha miundombinu

Arusha. Baada ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), kushinda tuzo ya kivutio bora cha utalii barani Afrika mwaka 2025 iliyotolewa na mtandao wa World Travels Awards (WTA), Mamlaka hiyo imeandaa mkakati wa kuboresha miundombinu yake ikiwemo ya barabara ivutie watalii zaidi na kuongeza bidhaa mpya za utalii. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Juni 30, 2025…

Read More

Usiri watawala vikao vya CCM

Dar/ mikoani. Usiri umetawala wa kinachoendelea ndani ya vikao vya Kamati za Siasa za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ngazi ya mikoa vitakavyotoa mapendekezo ya kuwafyeka watiania 3,293 wa ubunge. Kwa mujibu wa taarifa ya karibuni ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla watiania wa nafasi ya ubunge katika majimbo 272…

Read More

TMA yaeleza kinachoendelea kimbuka Ialy

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri kimbunga “Ialy” kinapungua nguvu yake huku kikielekea kaskazini, mbali na pwani ya Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jioni Jumatatu, Mei 20, 2024 na TMA kuonesha mwenendo wake imesema kimbunga hicho kinatarajiwa kuisha nguvu yake kabisa usiku wa kuamkia keshokutwa Jumatano, Mei 22,…

Read More

Yanga, Simba Kwa Mkapa, Azam yapelekwa Zenji

ILE Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu mpya sasa imefahamika itapigwa Kwa Mkapa siku ya Agosti 8, ikiwa ni mechi ya Ngao ya Jamii ya kuzindua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2024-2024, huku pambano jingine la michuano hiyo kati ya Coastal Union na Azam likipelekewa visiwani Zanzibar. Simba ndio watetezi wa michuano hiyo…

Read More

Feitoto kafichua kitu miasisti yake

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefichua kasi yake ya kutengeneza mabao haitapoa kwani ana malengo makubwa zaidi msimu huu. Fei Toto ambaye tayari amevunja rekodi ya asisti zilizowekwa msimu uliopita na Kipre Junior aliyekuwa akiitumikia Azam kabla ya msimu huu kutimkia MC Alger ya Algeria na alikuwa nazo tisa, amesema kwa…

Read More

Kuitwa tena Taifa Stars hawa kazi ipo

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ iliyoshiriki fainali za mataifa ya Africa (Afcon) za Ivory Coast ilikuwa na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa katika mataifa mbalimbali Africa, Amerika, Asia na Ulaya katika ligi mbalimbali kubwa na ndogo. Katika wachezaji hao ambao wengi wao walikuwa ni wageni machoni mwa Watanzania, walisubiriwa kuona watafanya nini katika…

Read More