ACT-Wazalendo wataka mabadiliko Jeshi la Polisi

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai ya kubadilisha mfumo wa Jeshi la Polisi kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Chama hicho kimetoa kauli hiyo kutokana na ilichodai kuendelea kuwapo matamshi kutoka kwa polisi dhidi ya demokrasia nchini. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari…

Read More

Tanzania yatota Uganda ligi ya dunia T50

MAMBO ni magumu kwa Tanzania katika ligi ya dunia kwa Kriketi ya mizunguko 50 baada ya kipigo kikubwa cha mikimbio 209 kutoka kwa wenyeji Uganda, katika Uwanja wa Lugogo, jijini Kampala mwishoni mwa juma. Tanzania iliyoanza kwa kufungwa na Italia kwa wiketi tisa katika mchezo wa ufunguzi Alhamisi, ilipokea kipigo kizito kutoka kwa wenyeji katika…

Read More

Shine TTW ameachia EP ya maisha yake leo!

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane. EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika. ‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa…

Read More

Big Joe atoa Milioni 100 Vijana wakijue kitabu cha Mufti

Ni July 3, 2024 ambapo Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga promosheni ya kukitangaza kitabu yenye thamani ya Shilingi Millioni 100 kuhakikisha kitabu cha ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’ kilichondikwa na Mhe. Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally Mbwana, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania kinawafikiwa vijana wote Tanzania. “Mkurugenzi au Mwenyekiti wa Clouds Media…

Read More

Kaseja awaita nyota Kagera Sugar Dar

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amewaita wachezaji wa timu hiyo haraka kambini jijini Dar es Salaam kwa maandalizi ya mechi mbili zilizosalia zitakazopigwa kati ya Juni 18 na 22. Kagera iliyoshuka daraja ikishika nafasi ya 15 katika msimamo wa Ligi Kuu kwa sasa itakuwa wageni wa Namungo Juni 18 na Kaseja ameona hakuna…

Read More