Kapama, Gustavo watua Fountain Gate

KLABU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa viungo Nassor Kapama kutoka Kagera Sugar na Daniel Joram ‘Gustavo’ kutokea Pamba, ili kuongezea nguvu katika timu hiyo yenye makazi yake Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Kapama aliyewahi kutamba na timu mbalimbali zikiwemo za Mtibwa Sugar na Simba, tayari amekuwa na mazungumzo…

Read More

WMA YAHIMIZA USHIRIKIANO KUTOKA SEKTA BINAFSI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akizungumza na Wahariri pamoja na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali, Septemba 11, 2024 jijini Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akitoa elimu ya vipimo kwa Wahariri na Waandishi wa Habari wakati wa Mkutano ulioandaliwa na Ofisi ya…

Read More

MAAFISA ELIMU SHUGHULIKIENI MADAI YA WALIMU – DKT. MSONDE

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu wenye madai ya malimbikizo ya mishahara (arrears) kuwasilisha vielelezo vya madai yao kwa Maafisa Elimu ili wayashughulikie, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa anayetaka changamoto zote za walimu…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Mipaka ya utawala na dosari zake

Ngonjera, mabango, vitabu na historia nzima ya Tanzania imejaa sifa ya amani na utulivu. Zamani misafara ya wafanyabiashara, watafiti na wamisionari waliopita hapa, ilikuwa na kila sababu ya kuimezea mate nchi hii iliyojaaliwa bahari, mito, maziwa, milima na mabonde ya kuvutia. Kama vile haitoshi, ardhi yenye rutuba na madini pamoja na misitu iliyojaa wanyama wa…

Read More

Serikali ilivyojizatiti kuondoa nishati isiyo salama ya kupikia

Dar es Salaam. Licha ya jitihada zinazoendelea kufanyika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Watanzania wengi bado wanatumia isiyo salama, hali inayohatarisha afya zao na kuharibu mazingira. Hatua hiyo inaifanya Serikali kusimama kikamilifu katika utekelezaji wa mkakati unaolenga kufikia 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More