Kipenseli ajitafuta mapemaa Bara | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Mashujaa, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ amesema ameanza kujitafuta mapema kikosini kabla ya kurejea kwa Ligi Kuu Bara, akipania kutumua duru hilo la pili kuondoa gundu kwa kutofunga wala kuasisti ili amalize msimu kwa heshima. Nyota huyo wa zamani wa Alliance FC, Yanga na Coastal Union, aliliambia Mwanaspoti, kitendo cha kufunga wala kuwa na…

Read More

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini. Heshima na jina lake, lisingekuwa kitu kipya katika masikio ya Watanzania wengi nyakati hizo, hiyo ilitokana na utajiri wake, kadhalika kujihusisha kwake na uwekezaji katika mpira wa maguu. Manji aliyefariki…

Read More

Watu 1,500 hufariki kila mwezi kwa kifua kikuu

Dar es Salaam. Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) vimepungua kutoka 56,000 mwaka 2015 hadi 18,400 mwaka 2024, hii ikiwa ni sawa na punguzo la asilimia 68. Katika mgawanyo kitakwimu, ugonjwa wa kifua kikuu huua watu 1,500 kila mwezi nchini, kutoka watu 4,332 mwaka 2015. Kiwango hicho kimesababisha Tanzania kuwa miongoni mwa nchi…

Read More

Kipa wa KVZ azitosa mbili Bara

KIPA tegemeo wa KVZ anayeidakia pia timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Suleiman Said Abraham amezikacha timu mbili za Ligi Kuu Bara, Tabora United na Pamba Jiji na kutua Namungo. Namungo imefanikiwa kunasa saini ya kipa huyo, baada ya kuzizidi ujanja Tabora na Pamba ambazo nazo zilikuwa zikimwinda kwa muda mrefu. Suleiman amemwaga wino…

Read More