Majaliwa atoa maagizo nane kwa wizara saba kushughulikia lishe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza wizara saba kuhakikisha kila mojawapo inakamilisha majukumu yake katika kushughulikia afua za lishe ili kuondokana na changamoto zilizopo eneo hilo. Majaliwa ametoa maagizo hayo baada ya kuzindua ripoti ya utafiti uliofanyika nchini ukiangazia ‘Gharama za Utapiamlo Katika Pato la Taifa’. Ripoti hiyo imeangazia gharama za…

Read More

Changamoto ya malazi Singida yaikwamisha KMC Dodoma

Kikosi cha KMC kimeendelea kusalia Dodoma baada ya kukosa sehemu ya malazi mjini Singida ambako itacheza kesho dhidi ya Singida Black Stars mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa ofisa habari wa timu hiyo, Khaleed Chukuchuku, wameshindwa kusafiri leo kwenda Singida kwakuwa timu imekosa mahali pa kufikia. “Tumeshindwa kufika kituo cha mechi mpaka muda…

Read More

296,410 kunufaika huduma ya mtandao Mwanza

Sengerema. Wakazi 296,410 mkoani Mwanza, watanufaika na mawasiliano ya simu baada ya Serikali kujenga minara 17 itakayoongeza mawasiliano kwenye kata 16 na vijiji 52 vilivyoko ndani ya mkoa huo. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Julai 18, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda alipokuwa akisoma taarifa ya mkoa kwenye ziara ya Waziri wa Habari,…

Read More

Nyumba za Gachagua zinavyolindwa na wanajeshi wa kujitolea

Nairobi. Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema nyumba zake za Nairobi na Mathira huko Nyeri sasa zinalindwa na askari wa kujitolea, baada ya Serikali ya Rais William Ruto kuondoa walinzi wake. Gachagua amesema askari hao wa kujitolea wanajumuisha wanaume na wanawake waliowahi kuhudumu katika Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), Jeshi la Huduma…

Read More

Mbowe kutoa msimamo uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anatarajia kutoa msimamo wa chama hicho kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji 2024 siku ya Jumanne Disemba 10, 2024 makao makuu ya chama Mikocheni, Dar es Salaam Msimamo huo unakuja kufuatia vikao vya kamati kuu ya chama hicho vilivyoketi tangu wiki iliyopita kupitia mitandao…

Read More