Upelelezi wakwamisha kesi ya Boni Yai

  JOPO la Mawakili linalomtetea Boniface Jacob ‘Boni yai’ aliyekuwa Meya wa Manspaa ya Ubungo linaloongozwa na wakili Peter Kibatala umeitaka upande wa Jamhuri kukamilisha upelelezi wa kesi ya kuchapisha taarifa za uongo inayomkabili ‘Boni yai’. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamejiri leo tarehe 21 Novemba katika Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Waziri wa Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amemwakilisha Rais Samia huku Serikali ya Uchina chini ya Rais Xi Jinping ikiwakilishwa na Naibu…

Read More

TANZIA: RAIS WA IRAN AFARIKI KWA AJALI

RAIS wa Iran Ebrahim Raisi (63,) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya helikopta waliyokuwa wakisafiria kutoka Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo kuanguka AFP Reuters imeripoti. Ebrahim aliambatana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Hussein Amirabdollahian pamoja na viongozi wengine ambao wote wamepoteza maisha katika ajali hiyo wakitokea katika shughuli za kikazi…

Read More

Mabao ya Freddy yamuibua Phiri

SIMBA mnamkumbuka kocha wenu wa zamani Patrick Phiri? Amewatumia salamu akiwaambia kuwa ilibaki kidogo tu presha ya mashabiki iwaondolee mshambuliji mzuri ambaye sasa ameanza kuonyesha mabao yake. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo Mzambia ambaye amewahi kuinoa Simba kwa mafanikio alisema kitendo cha timu hiyo kukosa matokeo mazuri na mashabiki kuongeza presha kwa wachezaji ilikuwa mbaya…

Read More