
Kesi ya Lissu kurushwa live, mahakama kupokea ushahidi
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Juni 2, 2025 inaanza kupokea ushahidi wa Serikali katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni, inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Geoffrey Mhini, Lissu anakabiliwa na mashtaka matatu ya kuchapisha mitandaoni…