Waliofariki kwa kufukiwa na kifusi mgodini wafikia watano

Shinyanga. Mwili wa mtu mmoja umeopolewa katika mgodi wa Chapakazi na kufikisha idadi ya waliofariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kwenye mgodi huo kufikia watu watano, huku watatu wakitolewa wakiwa hai. Agosti 11, 2025, wafanyakazi na mafundi zaidi ya 22 wa mgodi huo walifukiwa kwenye mashimo baada ya kutitia wakati wakifanya ukarabati wa mduara…

Read More

JWT TANGA WAMSHUKURU RAIS DKT SAMIA SULUHU KWA KUTATUA KERO ZA WAFANYABIASHARA

Na Oscar Assenga,TANGA JUMUIYA wa Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Mkoa wa Tanga imemshukuru Rais Dkt Samia Sukuhu kwa kutatua kero za wafanyabiashara na hivyo kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa ufanisi kutokana kuondolewa kwa vikwazo ambavyo walikwa walikabiliana navyo awali.Hayo yalisemwa leo na Katibu wa JWT mkoa wa Tanga Ismail Masoud wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

Mbunge adaiwa kujinyonga ndani ya Bunge, Finland

Vyombo vya habari nchini Finland vimeripoti kuwa Mbunge wa Chama cha Kidemokrasia cha Kisoshalisti (SDP), Eemeli Peltonen(30) amejinyonga ndani ya jengo la Bunge nchini humo. Gazeti la Iltalehti, ambalo ndilo la kwanza kutoa taarifa hizo, limesema mtu mmoja alifariki dunia saa 5 asubuhi leo Jumanne Agosti 19, 2025 ndani ya jengo la Bunge, jijini Helsinki….

Read More

RT kuwabana waandaaji mbio | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limepanga kuweka sheria mpya itakayowalazimisha waandaaji wa mashindano ya mchezo huo kuhakikisha wanajumuisha pia mbio za watoto katika kila tukio litakaloandaliwa. Hatua hiyo inalenga kujenga msingi imara wa vipaji na kuwekeza mapema kwenye maendeleo ya riadha nchini. Rais mpya wa RT, Rogath John Stephen Akhwari alisema mpango huo utahusisha kuandaa…

Read More

Namungo inaendelea kujifua Dodoma | Mwanaspoti

NAMUNGO FC inaendelea kujifua katika kambi iliyopiga jijini Dodoma kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, huku ikiwa na matarajio ya kucheza mechi mbalimbali za kirafiki. Katibu wa Namungo, Ally Seleman alisema timu ilianza mazoezi Jumatatu wiki hii chini ya kocha msaidizi Ngawina Ngawina, kisha baada ya siku tatu wataanza kucheza mechi za kirafiki….

Read More

Sababu Wazir Jr kurudi Bongo

MSHAMBULIAJI Wazir Junior Shentembo ameweka wazi sababu ya kurejea Dodoma Jiji, anataka kumaliza mkataba wake wa mwaka mmoja kisha atimke nje. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga na KMC, msimu uliopita kabla ya kutimkia Al Minaa ya Iraq alipocheza kwa mkopo wa miezi sita, alikuwa akiitumikia Dodoma Jiji. Akizungumza na Mwanaspoti, Waziri Jr alisema kwenye…

Read More

Prisons, Mbeya City zakimbia Jiji, tambo zatawala

WAKATI presha ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Bara ikipamba moto, Mbeya City na Tanzania Prisons zimetimka jijini Mbeya kwa ajili ya maandalizi yao, huku matumaini ya kufanya vizuri kwa pande zote yakiwa makubwa. Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26 inatarajiwa kuanza Septemba 16 mwaka huu na mkoani Mbeya timu mbili zinatarajiwa kuwakilisha kwenye…

Read More