
Wamiliki vituo vya kulelea watoto wakumbushwa kuzingatia sheria
Njombe. Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana wa Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe, wametakiwa kufuata miongozo ya uendeshaji wa vituo hivyo kwa kuhakikisha kuwa vimesajiliwa na vina miundombinu bora kwa ajili ya usalama wa watoto. Wito huo umetolewa leo Agosti 19, 2025 na Ofisa Ustawi wa Jamii wa halmashauri hiyo, Masinde…