Machifu wampongeza Rais Samia kwa kuenzi utamaduni

  VIONGOZI wa Kimila kutoka mikoa mbalimbali nchini, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Tamasha la Utamaduni la Kitaifa pamoja na kuongeza thamani ya viongozi wa mila iliyoonekana kushuka kwa miaka mingi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Wamesema hatua hiyo ya kuthamini, kufufua misingi na kuenzi tamaduni zilizokuwa zimeanza kuwekwa kando itasaidia kwa…

Read More

CCM yalaani shambulio la Dk Kitima, yatoa maelekezo

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeshtushwa na taarifa za kushambuliwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima. Kutokana na tukio hilo, CCM imetoa wito kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi wa kina na haraka ili kuwabaini na kuwachukulia hatua kali wahusika wa tukio hilo. Dk Kitima ambaye amelezwa…

Read More

Mwamwaja awashika mkono kikapu Pwani

CHAMA cha Mpira wa Kikapu, Mkoa wa Pwani kimepokea vifaa vya michezo kwa ajili ya ligi ya mkoa huo kutoka kwa mdau Charles Mwamwaja. Makabidhiano ya vifaa hivyo ni mipira na pampu yalifanyika katika Uwanja wa Tumbi na kushuhudiwa na viongozi wa Serikali za mitaa kata ya Tumbi. Baada ya kutoa mipira hiyo, Mwamwaja aliahidi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI – Yanga ilipaswa kusimama na Khomeiny

KILE kilichofanywa na Simba kwa winga wao Ladack Chasambi aliyejifunga kule Babati walipocheza na Fountain Gate ni babu kubwa sana hata hapa kijiweni tulipongeza. Ni jambo la kawaida linalopaswa kufanywa na timu au hata wadau wa michezo pindi mchezaji hasa mwenye umri mdogo anapokosea uwanjani ili kulinda kipaji chake na sio vinginevyo. Kuna namna mchezaji…

Read More

CCM YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA HOTUBA YAKE KILIMANJARO

 Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais DK Samia Suluhu Hassan kwa hotuba yake aliyoitoa Kilimanjaro ya kukemea vitendo vya utekaji na mauaji huku akiliagiza jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kubaini wale wanao husika na vitendo hivyo huku kikilaani vitendo hivyo vya upotoshaji wa hotuba hiyo vinavyofanywa na wapinzani hususan Chadema. Pia, alisema CCM imejipanga…

Read More

Maxime anaandaa Dodoma Jiji ya mastaa

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaendelea kukisuka kikosi chake kuwa bora na kutoa ushindani mkubwa msimu ujao, huku akitaka kuona kila mchezaji ndani ya kikosi hicho anakuwa staa. Katika maandalizi ya timu hiyo kuelekea msimu ujao, tayari imecheza mechi tatu za kirafiki ikianza na Pamba na kushinda bao 1-0, ikaichapa Singida Black…

Read More

Idadi ya wanaojua kusoma yaongezeka Tanzania

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amebainisha maeneo manne yaliyoonyesha matokeo chanya katika ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ikiwemo ongezeko la idadi ya watu wanaojua kusoma na kuandika kufikia asilimia 83. Idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 78 ya mwaka 2012 kama ilivyoonyeshwa kwenye ripoti ya sensa ya…

Read More

Ahmad Ally msaidizi wa Gamondi Taifa Stars

Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ndiye atamsaidia Miguel Gamondi katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’. Gamondi alitangazwa jana kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya mkataba wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kusitishwa. Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeithibitishia…

Read More

Ibenge apiga hesabu kali Azam FC

AZAM FC kwa sasa vichwa viko chini wakiuguza maumivu ya kupoteza mechi mbili za kwanza za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini mashabiki wa klabu huenda wakatuliza presha kutokana na kauli iliyotolewa na kocha mkuu, Florent Ibenge akisema watulie kwa kuwa watafikia ubora wanaotakiwa kuwa nao. Azam inayoshiriki makundi ya CAF kwa mara ya…

Read More