FANYENI TAFITI, TUMIENI TAKWIMU SAHIHI – WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla kuzisambaza kwa wananchi na kuhuisha taarifa za kisekta kwenye tovuti,” amesema. Ametoa wito huo leo…

Read More

Lwakatare: Uamuzi wa Msajili umetenda haki CUF

Dar es Salaam. Makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wamesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wa kubatilisha uchaguzi wa ndani ya chama hicho, uliofanyika Desemba 18, 2024, umetenda haki kwa wanachama na wote waliogombea. Uchaguzi huo uliomweka madarakani Profesa Lipumba na wenzake watano, ulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa makada wengine…

Read More

TADB YACHOCHEA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI KIGOMA

Na Mwandishi wetu Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewezesha  ujenzi wa Kiwanda cha Kuku wa mayai cha Mayai Ltd kinachomilikiwa na Bw. Rupinder Sandhu kimejengwa katika kijiji cha  Kimbwela, kata ya simbo, Mkoani Kigoma. Akizungumzia Kiwanda hicho, Afisa Maendeleo ya Biashara toka  TADB Bwana Patrick D. Kapungu amesema Kiwanda hicho ni kikubwa katika…

Read More

Guterres analaani mgomo wa Israeli kwa viongozi wa Hamas huko Qatar kama ‘ukiukwaji mkali’ – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa yake, António Guterres alizungumza dhidi ya kile alichokiita “ukiukaji mkali” wa uhuru wa Qatari na uadilifu wa eneo. Alisisitiza kwamba vyama vyote lazima vizingatie kufikia mapigano ya kudumu huko Gaza, “sio (juu) kuiharibu”. Hakuna viongozi wakuu waliouawa, anadai Hamas Hamas aliripoti kwamba watu sita waliuawa, pamoja na mtoto wa mmoja wa viongozi wake…

Read More

KONGAMANO LA TAWEN MBEYA LIMELETA ELIMU NA FURSA

  Mtandao wa Uwezeshaji Wanawake Tanzania (TAWEN) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati ya kuwawezesha wanawake na vijana kupitia kongamano kubwa lililofanyika jijini Mbeya, ambapo elimu na fursa mbalimbali ziliwasilishwa kwa washiriki kutoka sehemu tofauti za mkoa huo. Kongamano hilo lilifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Solomoni Itunda, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa…

Read More