CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025.  

Read More

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

shemeliezer shem March 11, 2026 0 Comments Jean-Guy Blaise Mayolas, Aliyekua Rais wa Shirikisho la soka Kongo Brazzaville (Kushoto), Gianni Infantino rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya kifedha yaliyohusisha utakatishaji…

Read More

KLABU BINGWA YA TAIFA 2025 KUANZA LEO TANGA

▫️Jumla ya mapambano 21 kupigwa jioni ya leo ▫️Vilabu 15 kushiriki MASHINDANO ya ngumi ya Klabu Bingwa ya Taifa yanatarajia kuanza rasmi jioni ya leo katika uwanja wa michezo wa Urithi, Jijini Tanga. Jumla ya vilabu 15 kutoka mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Kagera, Arusha, Iringa na Dodoma vinashiriki mashindano hayo vikiwa na jumla…

Read More

Dk Mwigulu aonya watumishi kupangisha vizimba wafanyabiashara

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kwa baadhi ya watumishi wa umma wanaojihusisha na tabia ya kukodisha maduka au vizimba kwa wafanyabiashara kwenye masoko, kinyume na utaratibu. Ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kusimamia sensa ya wafanyabiashara waliokuwa na vizimba katika soko la Kilombero, ili ujenzi utakapokamilika wapewe kipaumbele cha kwanza….

Read More

Kuelekeza kupita kiasi kikwazo kwa mtoto kujifunza

Jumamosi asubuhi, Mariam hupewa jukumu la kufagia sebuleni na mama yake. Kila anaposhika ufagio, mama haishi maagizo. “Anzia pale kona, shika ufagio vizuri, pitisha ufagio kama hivi, usisahau chini ya meza, sasa pindua kiti, hapana, usifagie kwa haraka hivyo. Mtoto wa kike usiwe na haraka unaposafisha nyumba.” Mara nyingine, anapokuwa anaosha vyombo, mama haishiwi maagizo:…

Read More

Wajasiliamali wachangamkia fursa mkutano wa Samia Mbeya

Mbeya. Wananchi na makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wa mgombea urais wa Chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo ambaye pia ni Rais wa sasa, anatarajia kufanya mikutano minne mkoani hapa baada ya kumaliza ziara yake mkoani Songwe jana Septemba 3, 2025. Kiongozi huyo akiwa mkoani…

Read More

Somo kwa wale wanaowatelekeza watoto

Canada. Visa vya matajiri wakubwa watatu duniani na marais wawili wa Marekani vinasisimua, kufikirisha, na vinafundisha kwa wenye akili na busara. Marehemu Steve Jobs,  mwanzilishi wa  kampuni kubwa ya Apple, Jeff Bizos wa Amazon, na Larry Elison wa Oracle wanaweza kutufundisha kitu juu ya nani anapaswa au anaadhibiwa kati ya wazazi na watoto waliozaliwa nje…

Read More