Algeria yachekelea kucheza robo Zanzibar 

KOCHA wa timu ya taifa ya wachezaji wa ndani wa Algeria, Madjid Bougherra, amesema safari za mashindano ya CHAN yanayoandaliwa kwa mara ya kwanza na Tanzania, Kenya na Uganda hayajawa changamoto kwao, bali yamekuwa fursa kwa wachezaji. Baada ya kupata sare tasa dhidi ya Niger katika Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi, matokeo yaliyowapeleka robo fainali,…

Read More

Afrika Kusini yatoa visingizio CHAN

KOCHA wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Molefi Ntseki ametoa ufafanuzi wa mambo yaliyoikwamisha Bafana Bafana kushindwa kufuzu robo fainali ya mashindano ya CHAN baada ya sare ya mabao 3-3 dhidi ya Uganda katika mechi ya kundi C. Afrika Kusini ilikuwa katika nafasi nzuri ya kutinga hatua hiyo hadi dakika ya 83, ikiwa ikiongoza…

Read More

Staa Morocco afichua jambo kuwahusu

MSHAMBULIAJI wa Morocco, Oussama Lamlioui, amesema mshikamano wa timu ndiyo msingi wa mafanikio ya Simba wa Milima ya Atlas kufuzu hatua ya robo fainali katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024. Lamlioui alikuwa shujaa wa Morocco mjini Nairobi baada ya kuonyesha kiwango bora katika eneo la kiungo na kutwaa tuzo…

Read More

Tanzania, Kenya, Uganda zaandika rekodi CHAN 2024

TIMU za taifa za Tanzania, Kenya na Uganda zimeandika rekodi mpya katika soka la Afrika baada ya zote kwa pamoja kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 huku wakiongoza makundi yao. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa mashindano hayo, Tanzania, Kenya na Uganda zimepenya hatua…

Read More

TCRA yatoa mwongozo kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa mwongozo na maelekezo kuhusiana na usambazaji wa maudhui na jumbe za mkupuo kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025. Mwongozo huu umekuja ikiwa zimesalia siku 10 kabla ya kuanza kwa kampeni za urais, ubunge na udiwani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025….

Read More

Vita ya vigogo robo fainali BDL

LIGI ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imefikia patamu baada ya timu vigogo nane kutinga robo fainali inayotarajia kuanza Agosti 23, mwaka huu katika Uwanja wa Donbosco, Upanga. Vigogo hao ni Dar City iliyomaliza ikiwa na pointi 30, Pazi (27), JKT (26), Stein Warriors (26), UDSM Outsiders (25), Savio (24), ABC (24) na…

Read More

Aliyembaka aliyekuwa mwanafunzi jela miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyohukumiwa Said Mohamed, baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya ubakaji. Said alikutwa na hatia ya kesi ya ubakaji wa aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tano mwenye umri wa miaka 15, kinyume na kifungu cha 180 (1)…

Read More

Chadema, Polisi Pwani wavutana kuhusu makada 10

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikiendelea kudai wanachama wake 10 kushirikiliwa na Polisi mkoa Pwani, pasipo kutoa haki ya kuonana na mawikili wao, jeshi hilo limesisitiza waliokamatwa ni wahalifu si makada wa chama hicho. Kwa mujibu wa Chadema, imedai kuwa polisi liliwakamata wanachama wake sita jana Jumamosi Agosti 16, 2025…

Read More

Instagram na ‘updates’ mpya kila kukicha

Dar es Salaam. Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Instagram, wamekuwa wakipata masasisho mapya (new updates) kila baada ya muda, hali inayotajwa kama ubunifu wa wamiliki wa mtandao huo (Kampuni ya Meta) ili kuongeza hamasa kwa watumiaji wake. Kwa sasa Instagram iko kwenye majaribio ya kipengele kipya kiitwacho ‘Picks’ kitakachowawezesha watumiaji kupata ama kugundua mambo…

Read More