WANANCHI WA MOHORO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

-Mhe. Mchengerwa afuturisha, Mohoro, Chumbi,Mbwala na Shela -Maelfu ya wananchi washiriki futari, wamsifu Mchengerwa Na Yohana Kidaga- Mohoro Wananchi wa kata nne za Muhoro, Chumbi, Mbwala na Shela katika wilayani Rufiji wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika Wilaya…

Read More

Viongozi wa Ulimwenguni huangazia Vijana kama Wakala wa Maendeleo – Maswala ya Ulimwenguni

Annalena Baerbock, Rais wa Mkutano Mkuu na moja ya Vijana wachanga kushikilia ofisialisisitiza hiyo Vijana ni “wabuni wa maisha yao ya baadaye” lakini haipaswi kuijenga peke yake. Akichora mazungumzo na viongozi wachanga kutoka Ethiopia kwenda Afghanistan, alionyesha changamoto za uso wa vijana wa leo – kutoka kwa migogoro na shida hadi kwa ujasusi na ukosefu…

Read More

Polisi Dar Wakamata Wawili Kwa Mauaji ya Athumani Nyanza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamata watu wawili akiwemo Rehema Maulidi (42), kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Athumani Nyanza. Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda Muliro alisema kuwa mtuhumiwa huyo pamoja na mwenzake mmoja ambaye…

Read More

Miradi 45 ya Kisayansi Kuonyeshwa Mashindano ya YST 20

SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (Young Scientists Tanzania – YST) limetangaza kuwa jumla ya miradi 45 ya kisayansi imechaguliwa kushiriki katika Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi yatakayofanyika Septemba 18, 2025 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Mwanzilishi Mwenza wa YST, Dk. Gozibert Kamugisha, alisema miradi hiyo imelenga kutoa suluhisho za kisayansi na kiteknolojia kwenye…

Read More

Ripoti yabainisha pengo uchimbaji endelevu Bulyanhulu, Barrick yajibu

Ripoti mpya ya utafiti imeibua taswira ya pande mbili katika sekta ya madini nchini, ikionesha mafanikio ya uwekezaji na uwajibikaji wa kampuni, lakini pia ikifichua mapengo ya ushirikishwaji wa jamii, uwazi wa taarifa na mifumo ya kushughulikia malalamiko. Ripoti hiyo iliyoandaliwa na HakiRasilimali kwa kutumia viwango vya kimataifa vya Towards Sustainable Mining (TSM), imechambua hali…

Read More

Wairani Washiriki Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Wakati Mashambulizi ya Marekani na Israel Yakiendelea

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Tehran, Iran — Leo Machi 13, 2026 Wairani wamejitokeza katika miji mikubwa ya nchi hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds, tukio la kila mwaka linalolenga kuonyesha mshikamano na sababu ya Wapalestina na kulaani vitendo vya Marekani na Israel. Tukio hili, linalofanyika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa anajibu maswali magumu katika ukumbi wa townhall pamoja na mashirika ya kiraia ya wanawake – Global Issues

“Ninyi ni watikisa msingi,” UN Katibu Mkuu Antonio Guterres aliuambia mkutano wa kila mwaka wa townhall na watetezi wa haki za wanawake – ambao unaendelea hadi 19 Machi – “na unatikisa haki, utu na usawa kwa jamii kote ulimwenguni.” Akiangazia kukosekana kwa usawa wa madaraka, ikiwa ni pamoja na katika siasa, uchumi na teknolojia zinazoibukia…

Read More

KATIBU MKUU RAMEPRO,BONIVENTURA MWALONGO SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO

Kwa masikitiko makubwa na huzuni nzito, tumepokea taarifa ya kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Marehemu alikuwa mchungaji mwaminifu na kiongozi mwenye hekima na busara, aliyeilitumikia Kanisa na Taifa kwa uaminifu mkubwa, akiacha alama isiyofutika katika mioyo ya wengi. Kwa niaba yangu binafsi na kwa…

Read More

Dk Nchimbi: Yajayo Mwanza yanafurahisha

Mwanza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameeleza jinsi  chama hicho kitawafanyia wananchi wa mkoa wa Mwanza endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Sekta ya elimu, afya, miundombinu ya barabara, huduma za maji na kijamii itakuwa ni kipaumbele kikubwa. Kuwasimamia na kuwawajibisha wabadhirifu wa…

Read More