Raia wa Ukraine adaiwa kujinyonga chumbani kwake Musoma

Musoma. Raia wa Ukraine, Ihor Hladkyi (48) amekutwa amefariki dunia baada ya kudaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mtu huyo ambaye alikuwa anafanya kazi katika mgodi wa dhahabu unaomilikiwa na kampuni ya Polygold, uliopo katika eneo la Kigera Etuma wilayani Musoma, anadaiwa kujinyonga Januari 23, 2025, saa 2 asubuhi. Akizungumza…

Read More

IDADI YA WATOTO WANAOTELEKEZWA YAPUNGUA TANGA

 Raisa Said, Tanga  Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, Mkoa wa Tanga umepambana kwa bidii kukabiliana na tatizo la utelekezaji wa watoto wenye umri chini ya miaka saba. Kwa mujibu wa Ofisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Tanga, Mmassa Malugu, mikakati iliyowekwa na serikali imeanza kuzaa matunda, ambapo idadi ya watoto wanaotelekezwa imeshuka kutoka 387…

Read More

Mechi ya Yanga, JKU ulinzi mkali Gombani

SAA chache kabla ya Yanga kuvaana na JKU kesho Alhamisi katika pambano la fainali ya Kombe la Muungano,  amishna Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Abdallah Hussein Mussa amesema ulinzi utaimarishwa katika mechi hiyo italayopigwa kwenye Uwanja wa Gombani uliopo visiwani utakaopigwa kuanzia saa 1:15 usiku. Yanga iliingia fainali kwa kuifunga Zimamoto…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Jespper Kammersgaard, kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam,  November 4, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha,  Balozi wa Denmark nchini,   Mhe. Jespper Kammersgaard  baada ya mazungumzo  kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar…

Read More

Wapinzani wa Yanga yawakuta CAF

SHIRIKISHO la Soka la Afrika (CAF), kupitia Kamati ya Nidhamu, limechukua hatua kali dhidi ya wapinzani wa Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa, MC Alger kutokana na vitendo visivyoridhisha vya mashabiki wa timu hiyo wakati wa mechi ya kufuzu hatua ya makundi dhidi ya US Monastir.   Kwa mujibu wa uamuzi DC23173 uliotolewa Novemba 24, 2024,…

Read More

Mbinu za kutambua kipaji ulichonacho

Dar es Salaam. Kuna uhusiano wa karibu baina ya elimu na kipaji. Elimu inakuwezesha kukidhi matarajio yako na ya wengine ila kipaji kinakidhi matarajio yako. Ukiwa na elimu na kipaji, unafika mbali zaidi kuliko ukiwa na kimoja peke yake.Kila mtu ameumbwa na kipaji. Mwanasaikolojia, Howard Gardner katika nadharia yake amechambua aina mbalimbali za uwezo wa…

Read More