SERIKALI KUJENGA MAKUMBUSHO YA MARAIS JIJINI DODOMA

Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali imetangaza kuanza ujenzi wa Makumbusho ya Marais katika jiji la Dodoma ili kuhifadhi historia ya waasisi na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania. Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki ameyasema hayo bungeni leo wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2024/25. Mhe….

Read More

Ibenge achekelea Mtasingwa kurejea | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonekana mwenye furaha zaidi baada ya kushuhudia kiungo wa timu hiyo, Adolf Mtasingwa, akirejea rasmi uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi kumi kutokana na majeraha ya kifundo cha mguu. Mtasingwa anayecheza nafasi ya kiungo mkabaji, mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa Februari 15, 2025…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More

Mdamu aanza matibabu Moi | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Wallace Karia, limetekeleza ahadi liliyoitoa wikiendi iliyopita kwa mshambuliaji wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mdamu kumlipia gharama za matibabu, ambapo nyota huyo ni kama ameanza maisha mapya baada ya mateso ya zaidi ya miaka miwili. Julai 9, mwaka 2021, basi la Polisi Tanzania lilipata ajali likitoka…

Read More

VITUO 43 VYA TOHzARA RUVUMA KUPEWA VISHIKWAMBI

  Na Albano Midelo Vituo 43 vinavyotoa huduma za tohara katika Mkoa wa Ruvuma vitakabidhiwa vishikwambi 84 vyenye thamani ya shilingi milioni 39 vilivyotolewa na Taasisi ya HJF Medical Research International. Vishikwambi hivyo vimekabidhiwa na Mwakilishi wa Taasisi hiyo, Dr. Joshua Mwakanyamale, kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Dr. Louis Chomboko, katika hafla iliyofanyika…

Read More

Championship vita inaendelea kupamba moto

RAUNDI ya 26 ya Ligi ya Championship, inaendelea tena wikiendi hii ambapo baada ya jana kuchezwa mechi tatu, leo zitapigwa mbili kwenye viwanja mbalimbali kwa kila timu kutafuta pointi tatu muhimu, huku ikihitimishwa mingine kesho. Vinara wa ligi hiyo Mtibwa Sugar yenye pointi 60, huku ikiwa na kumbukumbu ya kushinda mabao 3-1, dhidi ya TMA,…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa bishara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More

Zawadi kwenye paketi za vyakula hatari kwa watoto

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya bidhaa za vyakula vya kwenye paketi vinavyouzwa pamoja na zawadi ndogo, hasa kwa watoto yakiongezeka nchini, wataalamu wa afya wanaonya wakitaka uwepo umakini kwa watumiaji, kwani zawadi hizo zinaweza kusababisha madhara ya kiafya na kijamii. Zawadi hizo mara nyingi ni bidhaa za kuchezea au vifaa vidogo vya plastiki (kama…

Read More