Chaumma kujenga viwanda vya kutengeneza juisi ya matunda Muheza
Muheza. Wakati Mkoa wa Tanga hasa Wilaya ya Muheza ikisifika kwa uzalishaji wa machungwa, maembe na mananasi nchini, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kuja na kiwanda cha kutengeneza juisi itokanayo na matunda hayo. Kiwanda hicho kitakuza ajira kuanzia kwa wakazi wa eneo hilo, mnyororo mzima wa kiuchumi kukua pamoja na kukuza kipato cha…