Marekani yakataa msamaha wa Jenerali Muhoozi

Uganda. Seneta wa Marekani Jim Risch, ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni, amekataa msamaha wa umma uliotolewa na Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, akiutaja kuwa usio na maana, huku akitoa wito wa kutaka vikwazo vikali zaidi dhidi ya Uganda. Majibu hayo yametolewa ikiwa ni siku moja…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru na kifungo cha miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Musoma, imebatilisha na kufuta hukumu ya kifungo cha 30 aliyokuwa amehukumiwa Adolf Hitler baada ya kukutwa na hatia ya kosa la ubakaji. Hitler maarufu kwa jina la Masiringi alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Butiama mwaka 2023, katika kesi ya ubakaji wa msichana aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha tatu…

Read More

Haya Hapa Matokeo ya Form 4 – 2025

Last updated Jan 31, 2026 Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema…

Read More

TARURA MKOA WA RUKWA YAJIVUNIA UJENZI MIUNDOMBINU YA BARABARA

-Yasaini Mikataba 23 siku 100 za Rais Samia Madarakani. Dar es Salaam Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Chacha Mwita Moseti ameelezea mafanikio waliyoyapata katika ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoani humo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Hayo ameyasema katika Mkutano wa Mwaka wa Barabara uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Maktaba ya…

Read More

NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA NNE

 …….. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025 leo tarehe 31 Januari, 2026 jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa matokeo hayo, jumla ya watahiniwa 526,620 kati ya 595,810 waliopata matokeo wamefaulu mtihani huo, hatua inayodhihirisha…

Read More