Usitingishe waya, wikiendi ya wakubwa!
LEO Jumamosi kuna mechi tatu za Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini Watanzania wataitolea zaidi macho ile itakayochezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja. Mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10:00 jioni, Yanga itaikaribisha…