Jinsi unyanyapaa unadhoofisha utumiaji wa uzazi wa mpango kati ya wanawake nchini Sierra Leone – Maswala ya Ulimwenguni

Marie Kamara anasema juu ya athari za unyanyapaa kwa wanawake, haswa watu wenye ulemavu, wanapojaribu kupata uzazi wa mpango. Mikopo: Madina Kula Sheriff/IPS na Madina Kula Sheriff (Freetown) Jumatatu, Septemba 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari FREETOWN, Septemba 22 (IPS) – Eunice Dumbuya, mwanaharakati mchanga huko Freetown, Sierra Leone, bado anakumbuka akiitwa ujinga baada…

Read More

LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA FARU DUNIANI

 Picha za Matukio mbalimbali ya Maadhimisho ya siku Faru Duniani ambapo leo tarehe 22 Septemba 2025, Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Karatu, wadau wa Uhifadhi na Utalii na Wananchi wameungana katika Mbio za kilomita 5 katika mji wa Karatu zenye lengo la kuhamasisha shughuli za uhifadhi wa…

Read More

Bado Watatu – 36

Insekta Amour akaniambia: “Kitendo chako cha kuuhifadhi ule mwili kwa siku mbili na kisha kwenda kuutupa makaburini kinaonyesha kuwa wewe ndiye uliyemuua Shefa; sasa ulifanya hivyo ili kupoteza ushahidi.”

Read More

Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba

Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa na subira. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ahmed Ally amechapisha ujumbe huo huku…

Read More