Wanne washikwa mkono gofu kimataifa

WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo. Watoto hao wanatarajia kuibeba Tanzania katika mashindano yatakayofanyika kati ya Machi 23 hadi 26 mwaka huu nchini Kenya katika Jiji la Nairobi. Watoto hao wanaoiwakilisha Tanzania ni Ibrahim Juma, Julius James,…

Read More

Dar City yabeba matumaini BAL

SERIKALI ya Tanzania imesema imejipanga kuendeleza sekta ya michezo nchini, hususan mpira wa kikapu, kufuatia hatua ya taifa kuandika historia kwa kushiriki mashindano ya Afrika (BAL) kwa mara ya kwanza ikiwakilishwa na Dar City ambayo imebeba matumaini ya kufanya vizuri. Akizungumza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam…

Read More

Taasisi za fedha zatakiwa kubuni huduma rafiki kwa wanawake

Arusha. Serikali imezitaka taasisi za kifedha nchini kubuni bidhaa na huduma zinazozingatia mahitaji ya wanawake ili kuongeza ushiriki wao katika uchumi rasmi na kuchochea ukuaji wa pato la Taifa. Wito huo umetolewa leo Machi 23, 2026 jijini Arusha na Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Omary, wakati akifungua mkutano wa tatu wa wanawake katika sekta ya…

Read More

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Kuendeleza Ushirikiano na TTCL

Ikulu Zanzibar | 23 Machi 2026 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Ndugu David Nchimbi, aliyeambatana na Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, CPA Moremi Marwa, pamoja na ujumbe wao, waliofika kujitambulisha. Rais Dkt. Mwinyi ameahidi…

Read More

Ukimya wa Inter Milan Wazaa Matokeo Makubwa Serie A

Vinara wa SERIE A, Inter Milan wameendelea kuwa na wakati mzuri baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano hasa ya ndani. Bashiri mechi zote za Inter na Meridianbet leo. Kulikuwa na kitu tofauti kidogo kuhusu Inter msimu huu. Si kelele nyingi, si presha za nje  bali ukimya wa timu inayojitafuta upya. Kuanzia raundi za mwanzo…

Read More

Wanaotumia vibaya vyandarua vya msaada waonywa

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adamu Malima amekemea tabia ya baadhi ya watu kuchukua vyandarua wanavyogawiwa bure na Bohari ya Dawa (MSD) na kuvigeuza mabanda ya kufugia kuku, ama nyavu za kuvulia samaki. Kufuatia hilo, Malima amewataka    wakuu wa wilaya zote mkoani humo kufuatilia kwa karibu matumizi sahihi ya vyandarua hivyo. Malima ameyasema hayo…

Read More