
Sakata la mwalimu aliyemuadhibu mwanafunzi Makumbusho lachukua sura mpya
Dar es Salaam. Uongozi wa Shule ya Sekondari Makumbusho iliyopo Wilaya ya Kinondoni imemuondoa kazini mwalimu Felix Msila kutokana na tukio la kutoa adhabu ya viboko kikatili kwa mwanafunzi wa kidato cha pili, Khatib Salim, huku Halmashauri ya Kinondoni ikiahidi kuchukua hatua zaidi. Tukio hilo lilitokea Alhamisi Septemba 18, 2025 na baadaye picha mjongeo zilisambaa…