Maoni ya wadau nyongeza ya mshahara, kodi na elimu zatajwa

Dar es Salaam. Wadau wa sekta mbalimbali wameeleza maoni tofauti kuhusu ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma, lililotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Ongezeko hili la asilimia 35.1, ambalo litaanza kutumika Julai mwaka huu 2025, linatarajiwa kuleta mabadiliko katika maisha ya watumishi wa umma, huku wengine wakiunga mkono hatua hiyo…

Read More

PROF.KUSILUKA AWASILISHA MADA  MKUTANO WA KIMATAIFA WA MAAFISA MAWASILIANO YA UMMA,AFRIKA MASHARIKI

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka akiwakilisha mada wakati wa mkutano wa kimataifa wa Maafisa Mawasiliano ya Umma Afrika Mashariki unaofanyika kwa mara ya kwanza Tanzania, Arusha Na.Mwandishi Wetu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Jumanne tarehe 24 Septemba, amewasilisha mada katika Mkutano wa kimataifa wa…

Read More

XERIN AIR CARGO YALETA NDEGE YA MIZIGO TOKA DUBAI

   Kampuni ya Xerin Group inajivunia kutangaza kuzindua rasmi huduma yake maalum ya kukodisha mizigo ya anga, hatua kubwa katika kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Njia hii mpya inaashiria mageuzi makubwa katika sekta ya vifaa vya kikanda, kutoa masuluhisho ya ufanisi, salama, na kwa wakati kwa ajili…

Read More

Mchezo mpya watinga Dar na kauli ya kishujaa

Ukiwa na lengo la kukuza vipaji vya ushujaa, mchezo mpya umezinduliwa jijini Dar es Salaam huku wabunifu wake wakiwataka Watanzania kuupokea kwa kuwa utasaidia kutengeneza vipaji vya kushinda  medali za michezo kama kama Olimpiki. Ni mchezo mpya wa kuruka viunzi katika mbio za mita 100, mita 400 na mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase)….

Read More

Compact Energies yashinda tuzo ya huduma bora Afrika

Kampuni ya Compact Energies Limited inayohusika na uzalishaji wa umeme Jua imeshinda tuzo ya makampuni makubwa barani Afrika katika utoaji wa huduma wa sekta ya Nishati katika vipengele vitatu vya, Uhandisi, Manunuzi na Matengeneyo ya Umeme Jua (Engineering, Procurement and Construction Solar Energy Company of the year 2024 in Large Size Category). Tuzo hizo zinazojulikana…

Read More

Russia, Ukraine zabadilishana wafungwa 372 wa kivita

Kyiv.  Ukraine na Russia zimefanya mabadilishano ya wafungwa wa kivita 372 kupitia mpango ulioratibiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Wizara ya Ulinzi ya Russia imethibitisha kuwaachilia wanajeshi 175 na wafungwa 22 wa Ukraine waliojeruhiwa vibaya na wanaohitaji msaada wa haraka wa matibabu kwenda kuungana na wapendwa wao nchini Ukraine. Shirika la Habari la…

Read More