Simulizi wanayokumbana nayo wanawake wauza ndizi mtaani

Moshi. Wakati baadhi ya watu wakiitazama biashara ya ndizi mbivu mitaani kama ya kimasikini, ukweli ni kwamba biashara hiyo imekuwa mkombozi kwa wanawake wengi katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Biashara hiyo imewapa mafanikio kama vile kujenga nyumba, kusomesha watoto, kusaidia familia zao mahitaji muhimu ya kila siku huku wakijisikia furaha kuifanya kama ajira inayoendesha…

Read More

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aahidi Kuboresha Sekta ya Sheria kwa Kutoa Dira kwa Wanasheria Nchini

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ahadi ya kutoa mwelekeo kwa wanasheria wote nchini ili kuhakikisha wanatoa huduma za sheria serikalini kwa ufanisi, weledi, na ubora kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa,teknolojia,tamaduni na hata kimazingira. Ameyasema hayo hayo leo Desemba 6, 2024 Jijini Dodoma katika Kikao chake na wakurugenzi…

Read More

Kocha mpya Yanga: Timu yangu sitaki ulevi, pati

Wakati Yanga ikimtambulisha kocha mpya, Sead Ramovic, wachezaji wa timu hiyo wametakiwa kujiandaa kisaikolojia kwani hataki sterehe zikiwemo ulevi na kujirusha. Ramovic ambaye ni kocha wa zamani wa TS Galaxy ya Afrika Kusini, alishusha mkwara huo wakati akitua kwenye klabu hiyo siku chache baada ya kusaini mkataba Oktoba Mosi, 2021. Alitangaza mbele ya waandishi wa…

Read More

Manji afariki dunia, Yanga wamlilia

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yusuf Manji amefarikia dunia leo Jumapili jijini Florida nchini Marekani baada ya kuugua kwa muda mfupi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uongozi wa Young Africans Sports Club umethibitisha kifo cha Manji ambaye alikuwa mfadhili wa timu hiyo kuanzia 2012 hadi 2017 Mei alipojiuzulu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Klabu ya Yanga imesema imepokea…

Read More

KONA YA MALOTO: Siku 3,074 za Kinana CCM na panda, shuka zake

Aprili Mosi, 2022, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana, alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara. Nilifanikiwa kuzungumza na Kinana muda mfupi baada ya uchaguzi huo na nikamuuliza swali, kwa nini ameamua kugombea tena nafasi hiyo. Alinijibu kwa kifupi: “Nimeombwa kumsaidia mama.” Ni kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan, alikuwa akitimiza mwaka mmoja…

Read More

Watanzania 42 waliokwama Israel kurejea leo nchini

Dar es Salaam. Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kutokana na machafuko yaliyoibuka kati nchi hiyo na Iran, watarejea leo Tanzania, kwa ndege ya Ethiopian. Hatua hiyo inakuja kutokana na kuibuka  mgogoro kati ya Israel na Iran uliodumu kwa siku 12 tangu kuanza kwake Juni 13, 2025. Kabla ya jana Marekani kutangaza kusitisha vitha dhidi…

Read More