Chama la Mtanzania hali tete Oman

CHAMA la mshambuliaji wa Mtanzania Mgaya Ally (Salalah SC), linaloshiriki Ligi Daraja la Kwanza Oman liko kwenye hali mbaya katika msimamo wa ligi. Mgaya alijiunga msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal Union ya Tanga ambako nako alitumikia nusu msimu. Hadi sasa ligi hiyo imepigwa mechi 26 na Salalah iko mkiani mwa msimamo…

Read More

RC Mbeya awaonya wananchi dhidi ya vurugu siku ya uchaguzi

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa amewaomba wananchi mkoani humo kutoshawishiwa na yeyote kutumia siku ya uchaguzi mkuu kujifunza kufanya vurugu, badala yake wadumishe amani na utulivu. Hadi sasa zimebaki siku 12 pekee Watanzania kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi upande wa madiwani, wabunge, wawakilishi na Rais, tukio litakalofanyika Oktoba 29, 2025….

Read More

Mambo matatu yanayomsukuma Othman kujitosa urais Zanzibar

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ambaye ametia nia ya kugombea urais kupitia chama chake, amesema akipewa ridhaa atashughulikia mambo matatu mahsusi ili kuwasaidia Wazanzibar, ikiwemo kuwaunganisha. Othman amebainisha hayo katika mahojiano maalumu na Mwananchi, yaliyofanyika nyumbani kwake Unguja, Zanzibar. Amesema miongoni mwa mambo hayo ni kuguswa na maisha ya…

Read More

Uamuzi mgumu ulivyobadili upepo Yanga

YANGA ndio mabingwa tena. Imebeba taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo, ikiendeleza ubabe wake kwenye safari iliyokuwa na mabonde na milima. Yanga imelichukua taji hilo ikiwa na sura fulani tofauti na misimu miwili iliyopita, ikitoka kupitia mabadiliko mbalimbali kwa maana ya namna ya ilivyoanza msimu huu wa 2023/24 na hata muundo wa timu yao….

Read More

Hali ilivyo mitaani leo Siku ya Uhuru

Dar/mkoani. Watanzania mwaka huu wamesherehekea maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika wakiwa majumbani pamoja na familia zao, hali ambayo ni tofauti na desturi ya wengi kutumia siku hiyo kupumzika kwenye maeneo ya burudani au kushiriki matukio ya hadhara. Mabadiliko hayo yalichochewa na taarifa za kuwepo maandamano yasiyo na ukomo ikiwa ni mwendelezo wa…

Read More

Amani Endelevu nchini Afghanistan Inahitaji Wanawake kwenye Mistari ya mbele – Masuala ya Ulimwenguni

Fawziya Koofi, Naibu Spika wa zamani wa Bunge nchini Afghanistan, akiwahutubia waandishi wa habari kufuatia mkutano wa “Kujumuishwa kwa Wanawake katika Mustakabali wa Afghanistan”. Credit: Mark Garten/UN Photo na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumanne, Septemba 24, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Sep 24 (IPS) – Wanawake nchini Afghanistan wameendelea kutetea haki zao…

Read More