Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

Meridianbet Yaleta Wiki ya Pesa kwa Wapenzi wa Kasino

MERIDIANBET imefungua milango kwa tukio la kipekee la kasino, lijulikanalo kama Champions Clash ambalo linatarajiwa kuwasha moto kuanzia Septemba 11 hadi 17, 2025. Ndani ya siku saba hizi, wachezaji wa kasino wataingia kwenye ulingo wa ushindani kupitia michezo maarufu ya Pragmatic Play kama Sweet Bonanza Super Scatter, Mahjong Wins Super Scatter, na Gates of Olympus…

Read More

Vinara Ligi Daraja la Kwanza Unguja raha tu

VINARA wa Ligi Daraja la kwanza Kanda ya Unguja, Black Sailors, wamesema msimamo umekuwa hamasa nzuri ya kuanza mazoezi kwa ari zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Kocha Msaidizi, Said Mwinyi akisema amefurahishwa na namna wachezaji walivyoanza mazoezi kwa ari kubwa. Black Sailor inaongoza ligi hiyo kwa pointi 53 ilizovuna katika mechi 20 na kubakisha mechi…

Read More

NEEMA 10 ADHIMU ZILIZOTEKELEZWA NA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOA WA KIGOMA

*Wananchi Kigoma kumpokea kwa heshima,kibabe na kishindo kikubwa Anaandika Mshititi Dkt.Ahmad Sovu MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)kwa nafasi ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ambaye anaendelea na kampeni za kusaka kura na leo Septemba 13 anatarajia kuanza ziara ya mikutano ya kampeni za kuomba kura kuelekea Uchqguzi Mkuu Oktoba 25,2025. Udadisi wa Mshtiti katika mitaa na…

Read More

Dah! Siku 765 kinyonge | Mwanaspoti

KAMA ulikuwa hujui ni Septemba 16, 2025 siku ilipopigwa mechi ya Dabi ya Kariakoo, ilikuwa ni siku 765 kamili tangu Simba ilipoonja ushindi wa mwisho mbele ya Yanga. Ndiyo, Simba iliitambia Yanga mara ya mwisho Agosti 13, 2023 katika mechi ya Ngao ya Jamii ya kuzindua msimu wa mashindano wa 2023-2024 iliyopigwa Mkwakwani Tanga kwa…

Read More

Singida BS yapeta CAF ikiitandika Rayon Sports

WANA fainali ya Kombe la FA msimu uliopita, Singida Black Stars, imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-1. Ushindi huo umetokana na leo Singida Black Stars kushinda mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ikiwa ni…

Read More

Rea yakaribisha sekta binafsi kuwekeza miradi ya umeme vijijini

Njombe. Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (Rea) umewaalika wadau wa sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini kuwekeza katika miradi ya uzalishaji wa umeme vijijini. Wakala huo umeeleza kuwa kuna fursa nyingi hasa katika mikoa ya Njombe, Ruvuma na Iringa ambako kuna vyanzo vingi vya maji vinavyoweza kutumika kuzalisha umeme hatua itakayosaidia…

Read More

Mgogoro wa kibinadamu ‘unazidi’ nchini Afghanistan wakati vita vinapozuka katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Mzozo wa Mashariki ya Kati unaongeza matatizo na ukosefu wa utulivu kwa Afghanistan huku bei ya bidhaa tayari ikipanda katika “uchumi ambao tayari ni dhaifu”, kulingana na Georgette Gagnon, Afisa Msimamizi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo.UNAMA), ambaye mamlaka yake yanasasishwa baadaye mwezi huu katika Baraza la Usalama. Wakati huo huo, njia ya…

Read More