Waziri mkuu majaliwa awapongeza Rais Samia na Dokta Mwinyi Kwa sera Bora sekta ya fedha.
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewapongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa sera nzuri za fedha na Uchumi ambazo zimekuwa msingi wa ukuaji wa sekta ya fedha hususan katika kuleta suluhisho la huduma za kifedha kwa Wananchi. Amesema kuwa kupitia Sera hizo kumekuwa na mabadiliko makubwa mpaka kwenye ngazi za…