
Chadema, Polisi Pwani wavutana kuhusu makada 10
Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikiendelea kudai wanachama wake 10 kushirikiliwa na Polisi mkoa Pwani, pasipo kutoa haki ya kuonana na mawikili wao, jeshi hilo limesisitiza waliokamatwa ni wahalifu si makada wa chama hicho. Kwa mujibu wa Chadema, imedai kuwa polisi liliwakamata wanachama wake sita jana Jumamosi Agosti 16, 2025…