Chino kuizindua Sumu EP nyumbani kwao Ifakara Morogoro

Siku ya leo msanii Chinno ametangaza kurejea nyumbani kwao Ifakara Morogoro ambapo atarejea maalum kwaajili ya uzinduzi EP yake ambayo ameipa jina la Sumu ambayo itakua na jumla ya nyimbo sita pamoja na bonus track Chinno amesema hatoenda peke ake Morogoro anatarajia uwepo wa wasanii wakubwa ambao ni kaka zake akiwemo Marioo kwenda kumsupport kwani…

Read More

Polisi waanza msako anayetangaza kumuuza mtoto Sh1.6 milioni

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limeanzisha msako wa kitaifa kumtafuta mtu anayeonekana kwenye video akitangaza kuwa anauza mtoto aliyembeba kwa Sh1.6 milioni. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi kutoka Makao Makuu, Dodoma leo Ijumaa Januari 3, 2025, imesema msako huo ni wa kuhakikisha mtuhumiwa anakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria ili hatua…

Read More

Biashara ya mkaa pasua kichwa, yafikia Sh69.9 bilioni

Wakati dunia ikiendelea kupigia chapuo matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kulinda mazingira, hali bado ni tete kwa upande wa Tanzania, ambayo uuzaji wa mkaa umeongezeka kwa karibia mara 20 zaidi ndani ya mwaka mmoja. Tanzania imekuwa kinara wa kampeni ya matumizi ya nishati safi ya kupikia barani Afrika. Mara kadhaa Rais…

Read More

HUSSEIN JUMA SALUM: Turufu yake ya urais ni Zanzibar kuwa ya kilimo

Binadamu huota na hujibidisha kufanikisha ndoto. Anajitazama na kujenga matamanio ya jambo. Anatamani kuwa wa kada fulani inayomvutia kwenye maisha. Msemo wa “mipango si matumizi” hauna tofauti kubwa na “jitihada hazishindi kudra.” Unaweza kupanga, lakini mipango yako isishabihiane na matumizi. Unajitahidi, lakini jitihada zako zisikutane na kudra ambazo Mungu amekupangia. Hussein Juma Salum, mwanzoni mwa…

Read More

Medo azitamani tatu za Azam FC

LICHA ya kukiri matokeo kutokuwa mazuri, mastaa wa KenGold wamejishtukia na kusema njia mbadala ya kumaliza presha kikosini ni juhudi binafsi za mchezaji mmoja mmoja bila kukata tamaa. Timu hiyo inayocheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, haina mwenendo mzuri katika ligi hiyo na imecheza mechi 11 ikivuna pointi tano mkiani na kuwapa presha kubwa…

Read More

Mwenezi Makalla atembelea mpaka wa Tanzania na Kenya ‘Namanga one stop’ aridhishwa kwa kazi

“Nimeridhika na kazi mnayoifanya hapa ‘Namanga One Stop Border Post’ nimejionea foleni ya magari sio kubwa, pamoja na kazi nzuri mnayoifanya endeleeni kuhakikisha suala la foleni linaisha kabisa huku mkiondoa urasimu pamoja na yote muongeze Ushirikiano kwani kwa sasa tupo Vizuri Sisi na majirani zetu wa Afrika Mashariki”. “Jambo la Mwisho wapeni Ushirikiano hawa wafanyabiashara…

Read More

TRC, ofisi ya mtaa wachukua hatua kivuko cha SGR

Dar es Salaam. Kutokana na kujaa maji katika karavati ambalo wananchi wanalitumia kama kivuko kupita kwenye reli ya umeme (SGR) maeneo ya Gongolamboto jijini Dar es Salaam Shirika la Reli Tanzania (TRC) na ofisi ya serikali za mitaa wamechukua hatua  kushughulikia tatizo hilo. Hayo yamesemwa leo Jumanne Aprili 15, 2025 na mwenyekiti wa Serikali ya…

Read More

ZINGATIA HAYA UNAPOCHEZA KASINO| MCHEZO WA FRUIT O RAMA

* “Fruit O Rama ni mchezo wa sloti unaotolewa na mtengenezaji wa michezo Synot. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, utakutana na aina mbalimbali za bonasi za kasino. Jokeri, Respin Bonus, na pia kuna bonasi ya kamari.” KARIBU kwenye burudani ya kasino ya mtandaoni isiyozuilika yenye kutawaliwa na alama za matunda! Ukipanga alama hizi…

Read More