Wanafunzi wajikusanyia mamilioni ya ubunifu, ujasiriamali

Dar es Salaam. Katika juhudi za kuchochea ubunifu, utafiti na uthubutu miongoni mwa vijana, sambamba na kuimarisha elimu ya fedha na ujasiriamali wa vitendo katika shule za sekondari, wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini wamezawadiwa fedha taslimu baada ya kuibuka washindi wa mashindano ya kitaifa. Washindi hao wamepatikana kupitia mashindano ya uandishi wa insha na ubunifu…

Read More

Maridhiano yatajwa kichaka kukwamisha Katiba Mpya

Dar es Salaam. Wadau hao wamesisitiza kuwa mchakato wa Katiba Mpya ni wa kisheria unaohitaji kuanza kwa kuwasilisha muswada wa sharia bungeni, hivyo haupaswi kuhusishwa moja kwa moja na matukio ya hivi karibuni, ikiwemo uchunguzi wa vurugu hizo. Hata hivyo, wengine wameeleza kuwa hatua zinazopendekezwa zinafanana na kuchomeka mambo ambayo hayahitajiki, hivyo kuweo uwezekano wa…

Read More

Coca-Cola Kwanza hosts Minister of Industry and Trade

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 – Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade, Dr Seleman Said Jafo (MP) at its Dar es Salaam facility. The visit provided a valuable opportunity to showcase the company’s commitment to doing business the right way – guided by integrity, shared value creation, and…

Read More

ZFF yataja mikakati ya kuinua soka Zanzibar

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai amesema shirikisho hilo linaendelea na jitihada za kuleta mabadiliko katika Ligi Kuu Soka Zanzibar ili kutambulika zaidi Afrika. Alisema mbali na ubora wa wachezaji, ligi hiyo inanufaika kwa kuboreshwa kwa miundombinu ya michezo na makocha wazoefu ambao wamewahi kufanya kazi kwenye baadhi ya klabu…

Read More

Azam vs Yanga kupigwa Chamazi

MAJIBU ya maswali kuhusu wapi Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu itachezwa yamepatikana baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kupisha maboresho yanayolenga Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027. Dabi hiyo itakayochezwa Machi 15, 2026 imehamishiwa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es…

Read More

BOT yatangaza nafasi 105 za ajira

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza jumla ya nafasi 105 za ajira katika kada mbalimbali, ikiwakaribisha Watanzania wenye sifa kuomba nafasi hizo kabla ya Machi 24, 2026. Tangazo hilo lililotolewa Machi 10, 2026 linaeleza kuwa nafasi hizo zinalenga kuongeza nguvu kazi yenye…

Read More