Dk Kimbokota: ‘Msijisahau, Ukimwi bado Upo’

Iringa. Naibu Rasi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (Muce), Dk Fikira Kimbokota amesema Ukimwi bado upo na kuwakumbusha wasomi kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya. Amesema Muce imekuwa ikitenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo ili kudhibiti maambukizi mapya. Akizungumza na Mwananchi baada ya mafunzo kwa wahadhiri, wanafunzi…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuifanya Tanzania iendelee kuwa sehemu salama zaidi ya uwekezaji. Mheshimiwa Majaliwa ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi, Aprili 3, 2025) wakati wa uzinduzi wa Maandalizi ya Mpango…

Read More

Zambia ndio basi tena CHAN 2024

ZAMBIA imekuwa timu ya tatu kuaga michuano ya CHAN 2024 baada ya jioni kupoteza mechi ya tatu ya Kundi A kwa kufungwa mabao 3-1 na Morocco. Ushindi huo wa Morocco umepatikana jijini Nairobi na kuifanya ifikishe pointi sita, huku Zambia ikiwa haina pointi yoyote. Zambia imezifuata Nigeria na Afrika ya Kati zilizoaga michuano kutoka Kundi…

Read More

Chadema wadai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha

Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…

Read More

Mipango uondoshaji taka yaibua maswali

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameeleza kukerwa na kutotekelezwa baadhi ya mipango inayopelekwa barazani kila mara na baadaye kurejeshwa kama mipya. Pia, wawakilishi hao wakati wakichangia bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, wameeleza kukerwa na halmashauri kushindwa kuzoa taka, kitendo kinachotia…

Read More

Boni Yai agusia mgombea urais wa Chadema 2025

Dar es Salaam. Wakati maswali yakiendelea kugonga vichwa vya watu ndani na nje ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kuhusu nani atakuwa mgombea urais mwakani, Boniface Jacob maarufu Boni Yai amesema, “Mwaka 2025 huenda kukawa na ‘surprise’ kubwa kuliko nyingine yoyote au watu wanavyotegemea.” Jacob ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ya Chadema…

Read More

TMA yaeleza sababu joto kali Februari

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu hali ya joto katika maeneo mbalimbali nchini, ikisema vipindi vya ongezeko la joto vinatarajiwa kuendelea kujitokeza Februari 2025, hususan maeneo ambayo msimu wa mvua za vuli umeisha. TMA, katika taarifa ya jana, Februari 12, 2025, imeeleza katika miezi ya hivi karibuni kumekuwa…

Read More