DKT. BITEKO ASEMA DKT. NCHIMBI NI CHAGUO SAHIHI NA MWALIMU WA WENGI
Asema Dkt. Nchimbi ni mtu mwema anayejua shida za watu Mamia wajitokeza Kampeni za CCM Katoro Asema Katoro hawana mbambamba, awaomba Oktoba kuchagua wagombea wa CCM Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi kimepata Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais, anayefaa na kujua majukumu yake…