Pacome aiwahi Kaizer Chiefs Sauzi

KAMA ambavyo awali Mwanaspotui liliwajulisha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua alipewa siku tano kushughulikia pasipoti yake kabla ya kuungana na wenzake kambini Afrika Kusini, taarifa zikufikie nyota huyo tayari ameshatua huko na keshokutwa huenda akacheza dhidi ya Kaizer Chiefs. Awali Mwanaspoti lilipata taarifa, huenda Pacome angekuja moja kwa moja jijini Dar es Salaam kutoka…

Read More

Dabi ya Aziz KI na Chama

UKISIKIA mwisho wa ubishi ndio huu wakati vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga zitavaana katika mechi ya marudiano ya Ligi Kuu Bara. Ndio, kesho kuna Dabi ya Kariakoo itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam huku kila mmoja ikiwa na kumbukumbu ya mechi iliyopita iliyopigwa Novemba 5…

Read More

Kujiondoa kwa Marekani kutoka kwa Taasisi za Kimataifa Kunadhoofisha Utawala wa Sheria – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: WMO/Daniel Pavlinovic / UN News Maoni na Kituo cha Sheria ya Kimataifa ya Mazingira (Washington, Marekani) Ijumaa, Januari 09, 2026 Inter Press Service WASHINGTON, MAREKANI, Januari 9 (IPS) – Agizo kubwa la Utawala wa Trump la kuondoa Maŕekani kutoka kwa mashiŕika kadhaa ya Umoja wa Mataifa na mashiŕika ya kimataifa, pamoja na mkataba ulioidhinishwa…

Read More

Kocha awaka, kisa kipa wa Azam

KOCHA wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi amewaka na kusema ushindi iliyoupata timu hiyo juzi dhidi ya Azam FC, haukutokana na makosa ya kipa wa Wanalambalamba kama inavyosemwa na mashabiki na wapenzi wa soka, ila ni ubora wa kikosi alichonacho. Tabora iliiduwaza Azam kwa kuikung’uta mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, huku mabao…

Read More

Simbu kushiriki Burji2Burji Half Marathon

MWANARIADHA wa Alphonce Simbu anatarajiwa kushiriki mbio za Burji2Burji Half Marathon zitakazofanyika Dubai, Februari 8, mwaka huu, akiwa miongoni mwa wanariadha maarufu wa kimataifa. Mbio hizo zitakuwa sehemu ya maandalizi yake kuelekea Boston Marathon mwezi Aprili zikimuwezesha kuendelea na ushindani wa kiwango cha juu. Simbu anaingia Dubai akiwa na hadhi ya bingwa wa dunia wa…

Read More

ZEC kuandikisha wapigakura wapya 78,922

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kuandikisha wapigakura wapya 78,922 waliotimiza umri wa miaka 18 kwa mujibu wa takwimu ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika uandikishaji wapigakura awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2025. Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji George Kazi ametoa kauli hiyo leo Januari 17, 2025 alipofungua…

Read More