Mgambo wadaiwa kumuua raia Mwanza

Mwanza/Dar. Utata umeibuka kuhusu taarifa ya chanzo cha kifo cha Rashid Nyandonga (31), kufuatia ukinzania baina ya kinachoelezwa na Polisi Mkoa wa Mwanza dhidi ya maelezo ya familia na mashuhuda. Wakati polisi wakisema amefariki dunia baada ya kuishiwa nguvu akiwa mikononi mwa askari mgambo, familia na mashuhuda wamedai kuwa, umauti wake umesababishwa na kipigo cha…

Read More

Daktari aeleza kitaalamu chanzo majeraha ya mastaa Yanga

KAMA wodi ya wagonjwa sasa huko Jangwani inaelekea kujaa kufuatia idadi ya majeruhi kuongezeka ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kuwa nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job na Clement Mzize watakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki sita, huku mmoja wa madaktari bingwa akitaja sababu na suluhisho lake. Madaktari wa klabu hiyo wamethibitisha…

Read More

RC SHIGELA AKABIDHI GARI ZA ZIMAMOTO BUKOMBE

Wananchi wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita sasa wanaweza kupumua kwa amani baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kukamilisha ahadi yake ya kuimarisha huduma za uokoaji na zimamoto wilayani humo. Katika hafla iliyopambwa na matumaini makubwa, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela, amekabidhi magari ya msaada wa zimamoto ambayo yatakuwa mkombozi mkubwa katika…

Read More

Bocco alamba shavu jeshini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, John Bocco aliyekuwa akikipiga JKT Tanzania katika Ligi ya msimu uliopita, amedaiwa kulamba shavu jipya kwa maafande hao, licha ya kwamba hatakuwa na kikosi hicho katika Ligi Kuu msimu wa 2025-26. Bocco aliyejijengea heshima akiwa na Azam FC aliyoipandisha Ligi Kuu mwaka 2007 na kutwaa nayo mataji…

Read More

Wadau waona fursa mpya utekelezaji mapendekezo ya tume ya kodi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kuwasilisha mapendekezo 284 mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan, wadau wamesema kuwa, ikiwa kilichosemwa kitatekelezwa kikamilifu, mageuzi makubwa yatashuhudiwa. Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa ni mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More

Rekodi idadi ya wanawake wanaoishi katika umbali wa kushangaza wa mizozo ya kijeshi – maswala ya ulimwengu

Wanawake wanasimama katika makazi yaliyoharibiwa ya kuhamishwa huko Khan Younis, Gaza. Mikopo: Kliniki ya UNFPA/Media Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Septemba 25 (IPS) – uwanja wa vita sio mbali tena; Kwa mamilioni ya wanawake, ni mlango unaofuata. Takriban wanawake…

Read More

BARABARA YA MLIMA KITONGA KUWA NJIA NNE

…….. 📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kuanza upanuzi wa barabara ya Kitonga mkoani Iringa ambayo sasa itakuwa ya njia nne na yenye taa za barabarani.  Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa hatua hiyo ni uamuzi…

Read More