
Prisons, Mbeya City zakimbia Jiji, tambo zatawala
WAKATI presha ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Bara ikipamba moto, Mbeya City na Tanzania Prisons zimetimka jijini Mbeya kwa ajili ya maandalizi yao, huku matumaini ya kufanya vizuri kwa pande zote yakiwa makubwa. Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26 inatarajiwa kuanza Septemba 16 mwaka huu na mkoani Mbeya timu mbili zinatarajiwa kuwakilisha kwenye…