
Matumizi ya kuni, mabadiliko ya tabianchi yanavyochochea utoro shuleni Mwanza
Mwanza. Pamoja na Mkoa wa Mwanza kuonesha mafanikio makubwa katika kupunguza kiwango cha utoro na kuongeza mahudhurio ya wanafunzi shuleni, bado changamoto zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi na matumizi ya nishati duni ya kupikia zinaendelea kuathiri mazingira ya ujifunzaji. Kwa familia nyingi, hasa zile zenye kipato cha chini, kuni ndizo nishati kuu ya kupikia. Hali…