Sightsavers Calls for Inclusive Eye Health on World Sight Day

After cataract surgery, Utena from Gehandu village became a local advocate, inspiring her community to seek eye care. This World Sight Day, Thursday 10 October, international development organisation Sightsavers is calling for better access to eye health services for everyone and an integration of eye health into Universal Health Coverage (UHC). Vision problems do not…

Read More

Chuku ajifunga mwaka Tabora United

BAADA ya kuikosoa Ligi Kuu kwa msimu mmoja na nusu, beki Salum Chuku amerejea baada ya kusaini mwaka mmoja kuitumikia Tabora United huku akiwa tayari kwa vita ya namba dhidi ya mastaa wa nje kwenye timu hiyo. Chuku ambaye anacheza beki wa kushoto na winga, akitamba na Toto Africans, Mbeya Kwanza, Nkana Reds, KMC na…

Read More

MBUNGE NDULANE ASHAURI MAMBO SITA WIZARA YA AFYA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni Dodoma MBUNGE wa Kilwa Kaskazini,Francis Ndulane (CCM) ameshauri mambo sita kwa Wizara ya Afya ikiwemo kupeleka Huduma za kupima magonjwa mbalimbali kwa kutumia Mashine za kisasa za CT Scan na MRI katika ngazi za Mikoa na wilaya. Akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Afya leo…

Read More

Zanzibar ina mtaalamu mmoja wa upasuaji moyo

Unguja.  Zanzibar inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wataalamu wa magonjwa ya moyo, ambapo kwa sasa kuna wataalamu wa moyo wanne pekee, huku mmoja tu akiwa na uwezo wa kufanya upasuaji wa moyo. Hali hii imebainika wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Moyo Tanzania (CardioTan 2025) pamoja na mafunzo ya awali ya uokoaji…

Read More

Nondo asimulia alivyotekwa, kuteswa | Mwananchi

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo, Abdul Nondo amesimulia mwanzo mwisho tukio la kutekwa kwake, huku akisema bado ana hofu kuhusu maisha yake kutokana na vitisho alivyopewa. Amesema hofu inaongezeka zaidi kwa namna tukio hilo lilivyotokea, akisema kama waliweza kumteka hadharani, basi watu hao wamemuambia hawashindwi kumchukua tena mahali popote endapo akifungua…

Read More

RAIS SAMIA AMEANDIKA HISTORIA KWA TAIFA.

  Tanzania inang’ara katika mwanga wa uongozi thabiti wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonyesha dhamira ya dhati ya kuimarisha umoja, kukuza uzalendo, na kusherehekea mafanikio ya kitaifa.  Siku ya jana, Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ulijaa furaha na fahari kubwa, huku Watanzania wakikusanyika kwa wingi kushuhudia Taifa Stars ikifanikisha hatua ya…

Read More

Serikali yaanza kampeni elimu kujikinga na ugonjwa wa Mpox

Rukwa/Dar.  Katika kuhakikisha Jamii inakua salama dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Wizara ya Afya imeanza kutoa elimu katika maeneo mbalimbali ya umma na vyombo vya habari kupitia waganga wakuu wa mikoa na wataalamu wa afya. Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku 14 tangu Serikali ilipotangaza kuwa watu wawili wana maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa…

Read More

Mamluki waziponza Mwanza JIJI, Dodoma Shemisemita

MASHINDANO ya 39 kwa Watumishi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa Tanzania (Shemisemita) yalihitimishwa juzi kwa timu ya soka ya Geita kuichapa Ifakara mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Nyamagana, huku Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (Dar City) ikiibuka mshindi wa jumla ikibeba vikombe 10. Akifunga mashindano hayo yaliyoshirikisha halmashauri 100 kati ya 184,…

Read More