Mradi wa Sh3.1 bilioni kuwasha umeme vitongoji sita ukanda wa Ziwa Nyasa

Ludewa. Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imetoa Sh3.1 bilioni kutekeleza  mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa, wilayani Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili 13, 2026, ukilenga kuwapatia huduma ya umeme wateja wa awali takribani 160. Akizungumza katika ziara ya kutembelea…

Read More

DK.SAMIA:HUWEZI KUSIKIA MTU CCM AKISEMA ‘TUKIWASHE’ LABDA KIWE KING’AMUZI CHA AZAM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kasulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Chama kinachojali ustawi wa taifa letu la Tanzania usikii mtu kwenye Chama hicho akisema tukiwashe na kama wakisema tukiwashe labda kile king’amuzi cha Azam lakini siyo tukiwashe kwa fujo.  Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 13,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

AAFP yaahidi kupaisha bei ya karafuu hadi Sh50,000 kwa kilo

Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud Said, amesema maono yake ni kuleta mabadiliko, iwapo wananchi wakimchagua atahakikisha anabadilisha maisha ya Wazanzibari, hususan wakulima wa karafuu. Mgombea huyo ametoa kauli hiyo leo, Septemba 19, 2025, wakati akizungumza na viongozi, wananchi na wanachama wa chama hicho katika mkutano wa hadhara…

Read More

Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More

BRECOL Yatangaza Nafasi ya Quantity Surveyor kwa Miradi ya Majengo

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More

Meridian Bonanza Yaanza Kutikisa Ulimwengu wa Kubashiri

MERIDIAN Bonanza imewasili kwa kasi kubwa ikiwa imebeba burudani na ushindi. Ukiwa ni mchezo mpya kabisa, Bonanza inaleta upekee, msisimko na teknolojia ya kisasa inayomweka mchezaji katikati ya kila tukio. Huu si mchezo wa kawaida, ni safari ya ushindi isiyotabirika. Meridian Bonanza imeundwa kwa ubora wa hali ya juu, ikijumuisha muonekano wa kuvutia na athari…

Read More

Chadema yamtilia shaka Mwakilishi UN

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha wasiwasi wa kuwepo kwa mgongano wa masilahi dhidi ya Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN), Parfait Onanga-Anyanga, aliyetumwa kuzungumza na makundi mbalimbali nchini kuhusu matukio ya Oktoba 29. Onanga-Anyanga, amefanya ziara hiyo Machi 8 hadi 12, mwaka huu na kuzungumza na wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi…

Read More

Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More