Mradi wa Sh3.1 bilioni kuwasha umeme vitongoji sita ukanda wa Ziwa Nyasa
Ludewa. Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imetoa Sh3.1 bilioni kutekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa, wilayani Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili 13, 2026, ukilenga kuwapatia huduma ya umeme wateja wa awali takribani 160. Akizungumza katika ziara ya kutembelea…