
MUHIMBILI MPYA ITAENDANA NA DIRA YA TAIFA 2050, TEKNOLOJIA YA KISASA ITAKUWA KIPAUMBE
::::::: Ili kuendana na Dira ya Taifa 2050, Serikali ya awamu sita imedhamiria kuijenga upya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja ambapo hospitali hiyo itakuwa ni mifumo ya kisasa ili kuendena na mapinduzi ya teknolojia ya tiba duniani. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Dkt….