Profesa Janabi akabidhiwa ofisi WHO

Dar es Salaam. Profesa Mohamed Janabi, ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika amekabidhiwa ofisi na kuanza rasmi kazi. Janabi amepokewa ofisini kwake leo Jumatatu, Juni 30, 2025 kwenye ofisi za Kanda ya Afrika zilizopo nchini Congo, Brazzaville, baada ya kula kiapo Mei 28, 2025 mwaka huu. Katika nafasi yake…

Read More

TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA AFYA DUNIANI JIJINI BERLIN

:::::: Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba  12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe. Hassani Mwamweta anashiriki kongamano hilo linalofanyika chini ya kaulimbiu “Kuchukua Jukumu la Afya katika…

Read More

Nippon Paint Yazindua Kampuni Tanzu Afrika Mashariki, Ikilenga Kutoa Bidhaa na Huduma Zenye Ushindani Katika Soko Hili Linalokua.

Nippon Paint, kampuni ya nne inayozalisha rangi kwa ukubwa duniani kwa mapato, imepiga hatua kubwa katika soko la Afrika Mashariki baada ya kuzinduliwa Nairobi Ijumaa, Julai 5. Kampuni tanzu inayomilikiwa, “NIPSEA Paint,” itatambulisha teknolojia ya hali ya juu ya Kijapani ili kuboresha huduma kwa wateja katika urekebishaji wa magari, utunzaji wa gari, upakaji rangi mbao…

Read More

Faida Maradufu Ipo Mechi za UEFA Leo

UKIWA na Meridianbet ni rahisi sana kutengeneza pesa maradufu kwenye mechi zote zinazoendelea. Ligi ya mabingwa bado inaendelea na wakali hao wa ubashiri wapo tayari kuhakikisha unapata zaidi. Kivumbi kitaanza kutimka kule Cyprus ambapo Pafos FC baada ya kuondoka na ushindi mnono safari hii atakiwasha dhidi ya AS Monaco ya kule Ufaransa ambapo mpaka sasa…

Read More

Nani awatetee wachezaji wa Tanzania!

Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández Cascante maarufu zaidi kama Rodri, amegonga vichwa vya habari baada ya kauli yake ya kishujaa kwa mamlaka za mpira duniani. Akiwasilisha hisia za wachezaji wengi kama siyo wote wa Ulaya, Rodri amelalamikia utitiri wa mechi unaotokana na kupanuliwa kwa mashindano. “Nadhani wachezaji tunakaribia…

Read More

VIDEO: Mbowe, Sugu na wenzao waachiwa huru

Dar es Salaam. Baada ya kushikiliwa kwa saa 12 na Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake 11 wameachiwa huru. Mbali ya Mbowe, wengine ni Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ (mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Pascal Haonga (mbunge wa zamani wa Vwawa), Apporinaly Boniface (…

Read More

Theresa, Gaguti waula soka la wanawake Mwanza

WIKI chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza, Sophia Tigalyoma amefanya uteuzi wa nafasi tano kikatiba na kukamilisha safu yake ya uongozi atakayofanya nayo kazi kusimamia soka hilo mkoani hapa. Tigalyoma alichaguliwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Juni 8, mwaka huu jijini hapa, akishinda pamoja na…

Read More