Simba kujichimbia hoteli ya kifahari

SIMBA inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo alasiri, ikitokea Zanzibar ambako iliweka kambi ya siku tatu, kujiandaa na Kariakoo Dabi dhidi ya mtani wake Yanga, itakayopigwa kesho kuanzia saa 11:00 jioni, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo, zinasema hadi kufikia saa tisa alasiri, watakuwa wamefika mjini na wataweka…

Read More

Dabi ya Aziz KI na Chama

UKISIKIA mwisho wa ubishi ndio huu wakati vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga zitavaana katika mechi ya marudiano ya Ligi Kuu Bara. Ndio, kesho kuna Dabi ya Kariakoo itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam huku kila mmoja ikiwa na kumbukumbu ya mechi iliyopita iliyopigwa Novemba 5…

Read More

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua wanajeshi 10 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF). Rais wa Kenya, William Ruto usiku wa Alhamisi Aprili 19, 2024 alithibitisha vifo hivyo, akitangaza siku tatu za maombolezo na bendera…

Read More

Mechi inayofuata baada ya kipigo kikubwa -3

TUNAENDELEA na simulizi zetu za mechi ijayo ya watani wa jadi, Aprili 20 mwaka huu…yaani Jumamosi hii! Hii ni mechi ya kwanza tangu Yanga wawape watani wao Simba kipigo kikubwa cha 5-1, Novemba 5, 2023. Hiki ni moja ya vipigo vikubwa ambavyo vimewahi kutokea kwenye mechi watani. Kupitia makala hizi tunakuletea kumbukumbu ya mechi iliyofuata…

Read More

Vita iko hapa Kariakoo Dabi

MECHI za watani wa jadi huweza kuamuliwa na uwezo binafsi wa washambuliaji, viungo na mara chache mabeki, lakini mbinu za kocha zinaweza pia kuwa nguzo ya timu kupata matokeo iliyokusudia. Mara kadhaa ustadi binafsi wa wachezaji kama Emmanuel Okwi, Dua Said, Omary Hussein ‘Keegan’, Abeid Mziba ‘Tekero’, Abdallah Kibadeni ‘King Mputa’, Amissi Tambwe, Mohamed Hussein…

Read More

Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula

Dar es Salaam. Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula. Wataalamu wanaelezea mambo saba ya kuzingatia baada ya kula chakula ili kuepuka muingiliano wa virutubisho vinavyopatikana kwenye chakula na changamoto zinazoweza kusababisha maradhi. Daktari wa binadamu, Erick Shayo anasema Watanzania hawana utamaduni…

Read More

 Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka malipo ya wapangaji

Dar es Salaam. Wamiliki wa nyumba zinazoguswa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wakiwa wameshalipwa fidia na kuanza kuhama, kumeibuka malalamiko ya waliokuwa wapangaji katika nyumba hizo kutolipwa licha ya Serikali kuwaahidi malipo. Kwa mujibu wa Serikali, malipo yamesitishwa kutokana na baadhi ya wahusika kubainika kughushi nyaraka. Katika utekelezaji wa mradi huo unaogharimu…

Read More