
Hawa wanaweza kuwa sapraizi | Mwanaspoti
Mwisho wa tambo kwa mashabiki wa Yanga na Simba ambao kila mmoja anavutia ushindi upande wake ni Jumamosi kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa ambapo hii itakuwa ni nafasi kwa Mnyama kulipiza kisasi cha mzunguko wa kwanza au Wananchi kuendeleza ubabe katika mchezo huo wa dabi. Tofauti na ilivyokuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, Simba…