Yanga hii… Tabu iko pale pale

YANGA imesharejea nchini kutoka Afrika Kusini ilipoenda kuweka kambi ya siku 10, ikicheza mechi  tatu za kimataifa za kurafiki, ikuiwamo kubeba ubingwa wa Kombe la Toyota, huku mastaa wapya wakimpa kiburi kocha Miguel Gamondi. Katika mechi hizo tatu dhidi ya FC Augsburg ya Ujerumani, TS Galaxy na Kazier Chiefs za Afrika Kusini, kocha Gamondi alionyesha…

Read More

Sababu Matano kutoonekana Fountain Gate

KUTOONEKANA kwa Kocha Robert Matano kwenye benchi la ufundi la Fountain Gate katika mechi mbili zilizopita za Ligi Kuu Bara, kumeibua maneno mengi zikimuhusisha na kutimuliwa kwake baada ya kutokuwa na matokeo mazuri. Hata hivyo, uongozi wa klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Manyara umesema sababu za kutokuwepo kwa kocha huyo ni kutokana na ajali…

Read More

Wanafunzi wa ukaguzi kunolewa nchi nzima

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya ukaguzi wa ndani, wameanza safari ya kuwajengea uwezo na ujuzi wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wanaosomea fani hiyo ili kuwapata wakaguzi bora, wenye weledi na maadili kwa ajili ya siku za usoni. Hayo yameelezwa Juni 28, 2024 na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakaguzi wa Ndani ya…

Read More

Bashe alia na zao la chai Tanzania

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo haridhishwi na maendeleo yaliyopo kwenye zao la chai kutokana na mambo yanayoendelea ikiwamo kushuka kwa mapato yatokanayo na mauzo yake nje ya nchi. Bashe ameeleza hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akizindua bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania (TBT) kwenye…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUHAMASISHA KILIMO CHA KISASA KUPITIA MAONESHO YA NANENANE

Na Alex Sonna-DODMA NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, amesema maonesho ya wakulima- Nanenane yamekuwa kichocheo kikubwa cha mabadiliko ya kilimo nchini, akibainisha kuwa taasisi za umma na binafsi zimeonyesha jitihada kubwa katika kuboresha sekta hiyo kupitia teknolojia na ubunifu wa kisasa….

Read More

Mahakama yamrudisha Mpina INEC | Mwananchi

Dodoma/Dar. Mgombea urais wa Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina ameshinda kesi dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuhusu shauri la maombi ya Kikatiba akipinga kuenguliwa katika mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mpina alienguliwa katika kinyang’anyiro hicho na INEC Agosti 26, 2025, hivyo…

Read More

Kwesi Appiah awapa tano mastaa

BAADA ya kufuzu hatua ya robo fainali timu ya taifa ya Sudan imeonekana kuingia kwenye hali ya kujiamini, kutokana na kocha Kwesi Appiah kuwapongeza wachezaji wake akidai kwamba wamekuwa wakibadilika mechi hadi mechi kuonyesha ubora. Sudan imefuzu hatua hiyo baada ya suluhu dhidi ya mabingwa wa michuano ya CHAN, Senegal na kufanikiwa kuongoza kundi D…

Read More