CHAN 2024: Sudan, Senegal kazi ipo Amaan Complex

HATUA ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 inafikia tamati usiku wa leo Jumanne kwenye viwanja viwili tofauti, jijini Dar es Salaam na visiwani hapa wakati timu nne za Kundi D zitapepetana kusaka nafasi mbili za mwisho za kutinga robo fainali. Jijini Dar es Salaam, Nigeria iliyoaga mapema michuano hiyo kwa kupoteza mechi mbili za…

Read More

Mrithi wa Mligo Namungo afunguka

BAADA ya Namungo FC kuinasa saini ya beki wa kushoto wa KVZ, Ally Saleh Machupa kuziba nafasi iliyoachwa na Anthony Mligo, beki huyo mpya amefunguka matarajio aliyonayo katika maisha mapya Ligi Kuu Bara. Machupa anakuwa mchezaji wa pili kutoka KVZ kutua Namungo kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa baada ya hivi karibuni kipa tegemeo Suleiman Abraham…

Read More

Benchikha alivyopita na beki kisiki Simba

WAKATI Simba ikimnasa nyota kiraka Naby Camara kutoka Guinea na wakali wengine wakiendelea kujifua huko Cairo, Misri, Mwanaspoti limedondoshewa faili la siri namna beki kitasa wa Wekundu hao alivyopitiwa na aliyekuwa kocha mkuu wa zamani wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha. Benchikha aliwahi kuinoa Simba kwa kipindi kifupi misimu miwili iliyopita kabla ya kuondoka mara baada…

Read More

Mambo yameiva Dabi K’koo… Simba mtiti, Yanga mtiti

HUKO mtaani na katika mitandao ya kijamii kuna kelele nyingi za mashabiki wa soka wakitamani siku ziende haraka ili washuhudie Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu wa 2025-2026. Ndiyo, Simba iliyomaliza nafasi ya pili Ligi Kuu Bara, italazimika kuvaana na Yanga iliyobeba mataji yote msimu uliopita kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu hadi Kombe…

Read More

SEKTA YA BIMA YAKUA MARA DUFU CHINI YA RAIS SAMIA

 ::::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SEKTA ya bima nchini imepiga hatua kubwa ya maendeleo ndani ya miaka minne tu ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, huku thamani ya mitaji ikiripotiwa kuongezeka kwa zaidi ya mara mbili. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), thamani ya mitaji katika soko…

Read More

WATAALAMU WA BAJETI NCHINI WATAKIWA KUBADILI MWELEKEO WA UTENDAJI KATIKA USIMAMIZI WA MIPANGO NA BAJETI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma   Wataalamu wa bajeti  Nchini kubadili mwelekeo wa utendaji wao katika usimamizi wa mipango na bajeti za serikali, akisisitiza kuwa wao ndio nguzo kuu ya mafanikio au changamoto katika utekelezaji wa bajeti. Akizungumza leo Agosti 18,2025 jijini Ddooma wakati wa  kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2024/25…

Read More