Mzawa aja na jukwaa la suluhu kwa wabunifu na wasaka ajira

Suala la ukosefu wa ajira rasmi limekuwa likiumiza kichwa wengi, kuanzia kwa watu binafsi hata Serikali, lakini sasa Kwanzahub imekuja na suluhu ambalo hata kama sio la kumaliza tatizo lakini walau kupunguza na kuonyeshwa njia ya kutatua tatizo hilo. Suluhu hiyo inahusisha kutoa jukwaa la vijana kuonyesha mawazo yao ya kibunifu, kuyelea, kuyauza lakini ni…

Read More

Kushinda Haki ya Kitamaduni, Kuwasilisha Sanaa na Fasihi kwa Watoto wa Vita – Masuala ya Ulimwenguni

Basi la Cultural linawasili kwa msisimko mkubwa katika kambi ya Al-Azraq kaskazini mwa Syria. Credit: Sonia Al Ali/IPS na Sonia Al Ali (al-azraq, Syria) Ijumaa, Machi 13, 2026 Inter Press Service AL-AZRAQ, SYRIA, Machi 13 (IPS) – Katika kambi ya Al-Azraq kaskazini mwa Syria, Abeer Al-Qaddour mwenye umri wa miaka 10 ameketi, akivinjari kitabu cha…

Read More

Laizer afichua faili la Mnigeria, Obasi

LICHA ya kiwango bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji nyota wa Fountain Gate, Mnigeria Chukwunonye Obasi, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kutomchezesha dakika nyingi ni kutokana na sababu mbalimbali za kimsingi. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer amesema kutokana na ufinyu wa wachezaji wengi kikosini humo baada ya kufungiwa timu hiyo kutosajili, inamlazimu kuweka…

Read More

Kasi ya mikopo inapungua, sekta nyingine zinakua

Dar es Salaam. Wakati ukuaji wa mikopo kwa shughuli za kiuchumi ukiendelea kuwa chanya, takwimu mpya zinaonesha kasi yake inapungua, huku baadhi ya sekta zikionekana kupata mwendo wa kasi na nyingine zikibaki nyuma. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa katika mwaka ulioishia, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 15.9, ikipungua kutoka…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More

Moussa Camara amshtua kocha Yanga

KIWANGO bora alichoonyesha kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spiderman’ katika pambano la Dabi ya Kariakoo, kimemshtua kocha Mfaransa anayeinoa Yanga na kusema kama sio umahiri wa kipa huyo raia wa Guinea, huenda mambo yangekuwaharibikia Wanamsimbazi. Katika pambabo hilo la Ngao ya Jamii lililochezwa Jumanne ya wiki hii, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0, huku Camara…

Read More

Meridianbet Yachangia Mashine za Sanitizer Mwenge Hospitali – Global Publishers

Kama kawaida wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanaendelea na harakati zao za kurejesha kwenye jamii ambapo leo hii waliigusa hospitali ya Mwenge kwa kuwapelekea mashine maalumu kwaajili ya kuwekea sabuni na sanitizer lengo likiwa na kuimarisha usafi. Hatua hii inatokana na dhamira ya kampuni hiyo kushirikiana na taasisi za afya katika kuimarisha mapambano dhidi ya…

Read More