Raphael Kinda anayesaka Sh2milioni kujitibu

Masahibu ya majeraha kama haya yamewakumba wachezaji wengi, ambapo yupo pia kinda mwenye kipaji kikubwa ndani ya Singida Black Stars, Helman Raphael  ambaye anapambana na majeraha makubwa ya kuchanika nyama za paja. Raphael ambaye kabla ya kujiunga na Singida alikuwa akiwania na klabu mbalimbali kutokana na kipaji chake, ameshindwa kuwa na maisha mazuri ndani ya…

Read More

Huu ndio ukweli kuhusu chanjo kwa binadamu

 Aprili 24 hadi 30  ya kila mwaka ni wiki ya chanjo duniani. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitenga wiki hii kwa ajili ya kampeni mbalimbali zinazohusu chanjo. Takwimu za WHO zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miaka 50 iliyopita, chanjo zimeokoa maisha ya watu karibu milioni 154 duniani, huku pia zikiwakinga na magonjwa hatari zaidi ya…

Read More

Hali ilivyo Kariakoo, Waziri Mkuu naye kutembelea

Dar es Salaam. Shughuli za biashara katika eneo la Kariakoo mtaa wa Mchikichi na Congo zimesimama kwa muda,  huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitarajiwa kufika eneo la tukio muda wowote kuanzia sasa. Tangazo la kuwasili kwa Waziri Mkuu limetolewa kupitia redio ya matangazo katika eneo la tukio. Maelfu ya raia katika soko hilo wamesimamisha shughuli…

Read More

RC Mwanza azindua Ilemela Nyamachoma Festival – Burudani ya Kipekee kwa Wafanyabiashara na Wananchi wa Mwanza

NA BALTAZAR MASHAKA, ILEMELA Serikali ya Mkoa wa Mwanza imezindua Tamasha la Nyamachoma, maarufu kama Ilemela Nyamachoma Festival, litakalofanyika kila Jumamosi katika viwanja vya Nane Nane, Kata ya Nyamhongolo, Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela. Tamasha hilo linatarajiwa kuwa na manufaa makubwa kiuchumi kwa Mkoa wa Mwanza, huku likilenga kukuza biashara, kutoa nafasi kwa wafanyabiashara kuonesha…

Read More

Msikilize Wakili Kibatala Akifanua Mashtaka yanayomkabili Niffer – Global Publishers

Mfanyabiashara na mtangazaji wa mitandaoni, Jenifer Bilikwiza Jovin maarufu Niffer, amepewa mashtaka ya uhaini na kusomewa mahakamani, hatua inayohusiana na vurugu zilizotokea kabla na wakati wa uchaguzi mkuu. Niffer alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na washitakiwa wengine 21, ambapo serikali ilimsomea mashtaka matatu yanayohusiana na njama za pamoja za kuharibu…

Read More