ZEC YATANGAZA KURA YA MAPEMA KUPIGWA OKTOBA 28

Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar. TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ambao utahusisha uchaguzi wa Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na Madiwani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa ZEC, Jaji George J. Kazi, amesema kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 34(3)…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Furahia Michezo Kila Sekunde na Meridianbet Virtuals

HIVI umewahi kujikuta unatamani kuweka jamvi lakini ratiba ya michezo haipo upande wako? Mechi kubwa zimekwisha, au weekend bado haijafika? Sasa huna haja ya kusubiri tena kwa sababu Meridianbet Virtuals imekuja kukupa burudani ya papo kwa papo na ushindi wa haraka kila dakika, kila sekunde. Kwenye ulimwengu huu mpya, kila kitu kinatokea haraka. Hakuna foleni,…

Read More

HANDENI MJI YAJA NA MWAROBAINI WA UTORO SHULENI

  HANDENI MJI YAJA NA MWAROBAINI WA UTORO SHULENI Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga kupitia Idara ya Elimu Msingi imepongezwa kwa kubuni mkakati maalum unaoongeza uwajibikaji wa wazazi katika kukabiliana na utoro shuleni. Pongezi hizo zimetolewa Agosti 18, 2025 mjini hapa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, Mhe….

Read More

Urais mwiba kwa vyama vya siasa

Moshi. Urais ni kaa la moto ndani ya vyama vya siasa nchini na mara nyingi kuleta mtafaruku! Huu ndio mjadala unaoendelea kwa sasa baada ya makada wa vyama mbalimbali kuibuka hadharani na kupinga michakato ya uteuzi wa wagombea wao. Kwa kuegemea uzoefu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha Wananchi (CUF) mwaka 2015,…

Read More

Mashahidi 30 wamsubiri Lissu Mahakama Kuu

‎Dar es Salaam. Hatimaye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, imehamishiwa Mahakama Kuu ya Tanzania ambako ndiko itakakosikilizwa na kuamuliwa huku Jamhuri ikitarajia kuwaita mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi yake na kuwasilisha vielelezo 16. Katika kesi hiyo Lissu, anakabiliwa na shitaka moja la uhaini kinyume na kifungu…

Read More