Tuimarishe Lishe, Tupunguze Magonjwa Sugu

…………… NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali ya lishe nchini ili kupunguza kasi ya kuenea kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Amesema ulaji usio faa na mitindo mibaya ya maisha vimechangia kuongezeka kwa magonjwa…

Read More

Mushi anavyoamini Kiswahili ni pesa, fursa kwa wanawake

Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho lugha ya Kiswahili inaendelea kupanua mipaka yake kimataifa, jina la Consolata Mushi limeendelea kujitokeza kama nguzo muhimu katika safari hiyo. Akiwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita), Mushi ni miongoni mwa viongozi wanaoamini kwa dhati kuwa Kiswahili si tu chombo cha mawasiliano, bali ni rasilimali na…

Read More

Kwa Nini Nafasi Salama Ni Muhimu kwa Ustawi wa Vijana – Masuala ya Ulimwenguni

Kupika chakula ili kusambaza bure kwa watoto. Milo hiyo imetengenezwa kwa chakula ambacho kinakaribia kuisha muda wake. Warsha na Karuizawa Food Bank. Credit: Ippei Takemura Maoni na Ippei Takemura (Mkoa wa Miyagi, Japan) Ijumaa, Machi 06, 2026 Inter Press Service MIYAGI PREFECTURE, Japani, Machi 6 (IPS) – Hivi majuzi nilikutana na takwimu ambayo ilinizuia kuendelea….

Read More

MO aweka pesa Coastal Union

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More

Wanawake wa TCAA Watoa Msaada Gereza la Segerea Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wametembelea Gereza la Wanawake Segerea jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vifaa na mahitaji mbalimbali kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto wanaoishi gerezani hapo. Katika ziara hiyo, wanawake hao walikabidhi mahitaji muhimu kwa uongozi…

Read More

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 ,MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AVIFUNDA VYAMA VYA SIASA HANDENI

  Na; Mwandishi Wetu – Handeni Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imevitaka vyama vyote vya siasa katika Wilaya ya Handeni kuhakikisha vinazingatia kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, uwazi na kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika kikao kazi na wawakilishi…

Read More