
Aliyekimbia Chadema, akaingia CCM sasa atimkia Chaumma
Moshi. Zikiwa zimepita siku 47 tangu aliyekuwa Diwani wa Kiboriloni kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Frank Kagoma kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Jumatatu, Agosti 18 ametangaza kurejea upinzani kwa kutimkia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Kagoma, ambaye katika baraza la madiwani lililopita Manispaa ya Moshi, alikuwa diwani pekee wa Chadema,…